BUYANWEL
New Member
- Feb 9, 2023
- 3
- 1
Habari ya leo,
Nimeandika vitabu vya English na Math Mitihani 20 na majibu yake kila kimoja kwa shule za msingi (Darasa la Tano hadi la Saba wanaweza kuvitumia).
Ninauliza nitapata changamoto yoyote kuviuza nikishaprint? Kuna katazo lolote? Kuna utaratibu wowote wa kufuata zaidi?
Nimeandika vitabu vya English na Math Mitihani 20 na majibu yake kila kimoja kwa shule za msingi (Darasa la Tano hadi la Saba wanaweza kuvitumia).
Ninauliza nitapata changamoto yoyote kuviuza nikishaprint? Kuna katazo lolote? Kuna utaratibu wowote wa kufuata zaidi?