Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Mkuu Sikuelewi Hizi si Story kaka I'm for Real. I Stand for Edward, Andrew and Rostam
Wewe uko Upande Gani? Wa kujivua Gamba?
Hapo chacha!!
Mkuu Sikuelewi Hizi si Story kaka I'm for Real. I Stand for Edward, Andrew and Rostam
Wewe uko Upande Gani? Wa kujivua Gamba?
Lowassa ni mchapakazi anayeweza kubadili maisha ya watanzania.
Kwa kweli tanzania inahitaji maendeleo zaidi kuliko demokrasia
hapa hakuna unafiki mkuu, hapa ni suara la sheria, tuache kuwahukumu watu kwa tuhuma tuu, serikali ya kikwete inapashwa tuwapeleke hawa watu mahakamani ndipo iwafukuze kwenye chama kama si hivyo huu niuonezi mkubwa sana!Acheni unafiki,tangu nianze kutembelea JF ni threads na posts za kuwaponda hao mapacha watatu, ghafla mmeanza kwatetea?Duuh.
hapa hakuna unafiki mkuu, hapa ni suara la sheria, tuache kuwahukumu watu kwa tuhuma tuu, serikali ya kikwete inapashwa tuwapeleke hawa watu mahakamani ndipo iwafukuze kwenye chama kama si hivyo huu niuonezi mkubwa sana!
Kwa kipindi cha miezi miwili sasa imepita Tangu Chama Cha Mapinduzi ( CCM) kutangaza ilichokiita Kujivua Gamba kwa Lengo Si la kuboresha Maisha ya Watanzania bali KUKINUSURU Chama Cha Mapindizi ( Sijui nani kawadanganya kuwa wananchi watalia na kuomboleza siku wakisikia CCM imekufa ).
Moja kati ya Mikakati yao ni kuwaomba ( Wenyewe wanadai kuwataka, lakini huwezi kumtaka mtu ajiuzulu halafu unakaa naye Kikao cha Kumuomba ajiuzulu) wale wote wanatuhumiwa kwa ufisadi uliokichafua Chama Cha Mapinduzi Machoni mwa Watanzania. Lakini CCM hao hao hakuna Mahali wamesema kwamba
1. Ni Lini Lowasa, Chenge na Rostam walituhumiwa kwa ufisadi
2. Ni Wapi Lowasa, Chenge na Rostam walituhumiwa Kwa Ufisadi
3. Ni Nani aliyewatuhumu Lowasa, Rostam na Chenge kwa Ufisadi wao
4. Ni Vipi Lowasa, Rostam na Chenge waliingia BOT na kukwapua Mabilioni ya Shilingi.
5. Ni kwa vipi Kujiuzulu kwa Hao watatu kutaleta Nafuu kwa maisha ya Watanzania
Mpaka hapo CCM itakapotoa majibu kwa Maswali hayo Mepesi Nitaendelea kuwatetea Lowasa, Rostam na Chenge
Asanteni