Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,333
- 10,948
Wahenga walisema "jiongoze mwenyewe (kiakili) usingoje uongozwe". Wengine walienda mbali zaidi waliposema "Mkubwa hapangwi bali hujipanga". Hivyo ndivyo nilivyo amua kufanya kwa mwaka huu.
Kuna mengi naona yananichelewesha kufikia malengo yangu yakua tajiri (kwaamaana yangu) lakini hivi ni vikwazo ambavyo naona nisipoviacha vitanichelewesha ama kunifutia kabisa ndoto yangu.
Vikwazo hivyo ni BANGE & UMALAYA.
Nikianza na Bange, niseme tu kiroho safi kua nimeshavuta sana takriban miaka 15 sasa na sijaona ni kipi ninacho faidika nacho pindi nivutapo zaidi ya mazoea tu niliyo jijengea. Yaani ni kama kichangamshi tu cha akili na Mwili kiujumla. Zaidi ya hapo ni khasara tu.
Kwanza ni full pressure pindi nivutapo, yani kwamiaka yote niliyovuta nishakamatwa si chini ya mara 5 na marazote nimekua nagharamia kutoka polisi post.
Pili nimepiga hesabu pessa ninayo gharamia kwenye ulevi huu ni zaidi ya 100,000 kwa mwezi mmoja tu.
Tatu saikolojia yangu naiona tofauti na pale Mwanzo kabla kuanza kuvuta. Yani sometimes kuna vitu huwa navifanya mpaka mwenyewe nashangaa. Kununa hovyo, kuchelewa kupata usingizi ect.
Hivyo leo naamua kuachana na bange rasmi, nina imani navuta kwa ajili ya mazoea tu, hivyo mazoea hayo yapo ndani ya akili yangu na naweza kuyabadilisha mimi mwenyewe singoji mtu aje anisaidie sababu hakuna mtu anaefikiria ndani ya akili ya mwingine.
Jambo lingine ambalo nimeamua kuachana nalo ni Umalaya. Wanawake wananirudisha nyuma, hilo nimeliona kabla mtu mwingine hajaniambia. Japo hufanyaga kwa siri lkn nafasi yangu inanisuta na nisipoishinda changamoto hii Biashara zangu zitanishinda na nitawapa watu la kuongea.
Kwanza sioni sababu ya kugonga vimada wakati mm ni mume wa wake wawili tena mataifa mawili tofauti (Angola & Tanzania), nataka nini tena hapo?!
Nimegundua kuwa naishi kwa mazoea, sasa mazoea nataka niyakomeshe. Nina vikwazo vingi tu, lkn hivyo ni ambavyo nimeamua kuanza kupambana navyo.
Najua hata wewe unavyo vya kwako, naomba tusaidiane uzoefu jinsi ya kuvishinda vikwazo vyetu vinavyo sababisha tushindwe kufikia malengo yetu.
#KITO-MKATAKIMEO.
Kuna mengi naona yananichelewesha kufikia malengo yangu yakua tajiri (kwaamaana yangu) lakini hivi ni vikwazo ambavyo naona nisipoviacha vitanichelewesha ama kunifutia kabisa ndoto yangu.
Vikwazo hivyo ni BANGE & UMALAYA.
Nikianza na Bange, niseme tu kiroho safi kua nimeshavuta sana takriban miaka 15 sasa na sijaona ni kipi ninacho faidika nacho pindi nivutapo zaidi ya mazoea tu niliyo jijengea. Yaani ni kama kichangamshi tu cha akili na Mwili kiujumla. Zaidi ya hapo ni khasara tu.
Kwanza ni full pressure pindi nivutapo, yani kwamiaka yote niliyovuta nishakamatwa si chini ya mara 5 na marazote nimekua nagharamia kutoka polisi post.
Pili nimepiga hesabu pessa ninayo gharamia kwenye ulevi huu ni zaidi ya 100,000 kwa mwezi mmoja tu.
Tatu saikolojia yangu naiona tofauti na pale Mwanzo kabla kuanza kuvuta. Yani sometimes kuna vitu huwa navifanya mpaka mwenyewe nashangaa. Kununa hovyo, kuchelewa kupata usingizi ect.
Hivyo leo naamua kuachana na bange rasmi, nina imani navuta kwa ajili ya mazoea tu, hivyo mazoea hayo yapo ndani ya akili yangu na naweza kuyabadilisha mimi mwenyewe singoji mtu aje anisaidie sababu hakuna mtu anaefikiria ndani ya akili ya mwingine.
Jambo lingine ambalo nimeamua kuachana nalo ni Umalaya. Wanawake wananirudisha nyuma, hilo nimeliona kabla mtu mwingine hajaniambia. Japo hufanyaga kwa siri lkn nafasi yangu inanisuta na nisipoishinda changamoto hii Biashara zangu zitanishinda na nitawapa watu la kuongea.
Kwanza sioni sababu ya kugonga vimada wakati mm ni mume wa wake wawili tena mataifa mawili tofauti (Angola & Tanzania), nataka nini tena hapo?!
Nimegundua kuwa naishi kwa mazoea, sasa mazoea nataka niyakomeshe. Nina vikwazo vingi tu, lkn hivyo ni ambavyo nimeamua kuanza kupambana navyo.
Najua hata wewe unavyo vya kwako, naomba tusaidiane uzoefu jinsi ya kuvishinda vikwazo vyetu vinavyo sababisha tushindwe kufikia malengo yetu.
#KITO-MKATAKIMEO.