Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 570
- 1,229
Juzi nilikuwa nasafari kutoka Tukuyu Mbeya kwenda Mbeya mjini, kukazuka mjadala wa ripoti ya CAG katika michango ya baadhi ya abiria wakawa wanasema kwani hiyo ripoti inakupa Nini na inatuhusu Nini?
Nikagundua tunahitaji MSAADA hasa wa ukombozi wa Fikra.
Nikagundua tunahitaji MSAADA hasa wa ukombozi wa Fikra.