Kwema?
Aisee kuna mwanamke unaweza kuwa nae kimahusiano na mambo yako yakaenda vizuri sana mpka ukashanga natolea mfano mdogo huyu wa kwangu.
Aliniomba elfu 40,00/= nikamuambia sina hela niko vibaya daah akaniambia ataniombea mpaka jioni nitapata hyo hela huwezi amini kabla ya kufika jioni nilipata kama 150k nikamtumia 40k jioni.
Siku nyingine akaniambia anataka kuja kunisalimia nikamuambia njoo hapo nilikua na back up ya elfu 90 tuu nauli yake ni 45k nikamtumia 53k akaja nikawa na kama 37k tuu kama back up kakaa kwangu week huwezi amini nilikua napata hela mpaka nikapata na nauli ya kumpa nikampa 48 mimi nikabaki na elfu 2 tuu akarudi daah kuna mtu nilikua namdai laki moja akanitumia daah nikashangaa saana.
Kila nikimuambia mipango yangu inatiki na akiniomba hela nikimpa lazima nipate hela
Kila baada ya siku 3 namuumgiaga kifurushi cha 3000 na sijawahi kuishiwa ,
Hitimisho kama ni maendeleo nimesogea sana na kiwanja shanunua kibaha 3m yaani mambo ni mengi mpaka nashangaa aisee.
Huyu hata aki ni cheat simuachi.
Aisee kuna mwanamke unaweza kuwa nae kimahusiano na mambo yako yakaenda vizuri sana mpka ukashanga natolea mfano mdogo huyu wa kwangu.
Aliniomba elfu 40,00/= nikamuambia sina hela niko vibaya daah akaniambia ataniombea mpaka jioni nitapata hyo hela huwezi amini kabla ya kufika jioni nilipata kama 150k nikamtumia 40k jioni.
Siku nyingine akaniambia anataka kuja kunisalimia nikamuambia njoo hapo nilikua na back up ya elfu 90 tuu nauli yake ni 45k nikamtumia 53k akaja nikawa na kama 37k tuu kama back up kakaa kwangu week huwezi amini nilikua napata hela mpaka nikapata na nauli ya kumpa nikampa 48 mimi nikabaki na elfu 2 tuu akarudi daah kuna mtu nilikua namdai laki moja akanitumia daah nikashangaa saana.
Kila nikimuambia mipango yangu inatiki na akiniomba hela nikimpa lazima nipate hela
Kila baada ya siku 3 namuumgiaga kifurushi cha 3000 na sijawahi kuishiwa ,
Hitimisho kama ni maendeleo nimesogea sana na kiwanja shanunua kibaha 3m yaani mambo ni mengi mpaka nashangaa aisee.
Huyu hata aki ni cheat simuachi.