Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.
Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..
sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.
Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..
sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.