Tulia vyeo vinaenda na akili utulivu na mfano nikupe mother wangu na ukatibu mkuu wake wote hajawahi kumpandisha cheo ndugu wala rafiki.waliimchukia sana nilivyomaliza George Washington nilijua mother atani hook up alinipa jibu hilo sitisahau alinimbia"tafuta kazi ukishindwa tutaangalia usawa " ah nilirudi bongo nilikaa nyumbani 2 months nikaanza nikarudi Huku kwa mpenzi wangu nikaolewa .bosi wako Kama amesoma na anaakili na degree ya 1970,s usisubutu utapoteza kazi .Huyu MKORA wangu kila siku namuwekea sura ya kazi!!! Ila saivi KASHIKA MPINI MIE MAKALI!!!!!!! Inabidi KUMZIDI AKILI!!!! Hiyo nafasi kaacha mtu, nikizubaaa tu mpaka mtu mwengine aache lini ndugu yangu???????? Alafu expenses zinanizidia, Debt Ratio inakaribia kupasukaaa! Hapa Inabidi nimchote KINGI huyu Mkora anipitishe tu Kibingwaaa! There gotta be a way!!!
Tulia vyeo vinaenda na akili utulivu na mfano nikupe mother wangu na ukatibu mkuu wake wote hajawahi kumpandisha cheo ndugu wala rafiki.waliimchukia sana nilivyomaliza George Washington nilijua mother atani hook up alinipa jibu hilo sitisahau alinimbia"tafuta kazi ukishindwa tutaangalia usawa " ah nilirudi bongo nilikaa nyumbani 2 months nikaanza nikarudi Huku kwa mpenzi wangu nikaolewa .bosi wako Kama amesoma na anaakili na degree ya 1970,s usisubutu utapoteza kazi .corruption is not a good thing , work hard show up on time.Ingekuwa haraka hiyo uliyokuwa nayo Enzi Za Nyerere ungefungwa.huyo bosi wako ni mswahili kwelikweli anapenda vitu na tamaa.mama Angu alikujaga Huku USA alinikuta na pair 300 .aliita eamexicano wacha
Natalia unachafua hali ya hewa sasa... Hapa ni ushauri tu, mambo ya mama katibu mkuu, mara world class university kama washington, pea 300 za viatu unaturusha roho wenzako as tumesoma kayumba degree tumepata kwa migomo as kila kitu magumashi, mama zetu wakulima.. Tunaomba ushauri lala 1 ajikomboe maisha yake ni magumu as anatokea familia zetu za kayumba
Thank you so much!!!!!!!!!!!!! THANK YOU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wewe bado utoto unakusumbua.you are still at foolish age!!!Atulie afanye kazi kwa bidii
Wakubwa shikamooni!!!!!!!!
How do you do my Broders n Sisters from Another Mother!!!!!!!!!
Mie mzima ila ndo mwaka wafikia mwisho hivooo, sasa pale kwa ofisi tumepewa PERFORMANCE EVALUATION FORMS ili kutupima utendaji wetu, na inshaalah! Mola akijaalia mwakani tupate hivo vyeo na bonas za kufungia mwaka! Hizi PEF yabidi kwanza nijijazie mwenyewe, alaf nimpeleke MKUU DIASPORA, alfu na MKUU WA IDARA nae anijazie!!!! Najambajeee sasa!
Utendaji wangu nahisi mwaujua ni wa KUCHAKACHUA mwanzo mwisho, Kwanza Naibia nasoma full time(msiniulize nawezaje, siri ya biashara) Pila nashinda humu JF, Tatu mingo za grave yard hazinikauki kuchonga ngenga na kupoteza muda. I know im not the best employee n im sorry bt life is too fast, cut me some slack people okay!!!!! Sina bahati kama nyinyi ya kulipwa 7figures na sina bima wala trust fund. Sina majumba ya kukusanya kodi, mama lara 1 anakaba kila angle. I survive on my own!!! Asister gotta eat n survive Okay!!!!!!!!!
Sasa mkuu wa idara ni maza flani, tunaelewana sana coz namuoneshaga mingo za pamba na mipochi pale Mwenge na Kino, nimemuunga na suppliers wa designer perfumes na make ups. In short maza shosti wangu sanaaaa, namuonesha jiji na mataa yake. Hadi zawadi ya mumewe ya anivesary nimechagua na kuinunua mimi! Ile fomu atanijazia poa sanaaa! Mjini Mipango.!!!! (Lazima kujikombe once in a while)
Tatizo lipo kwa Boss Diaspora!!!!!!!! Hali ya baba wa taifa ni tete! Toka nimpe cha mbavu basi kanitoa moyoni jumla jumla. Najmbajeeeenikifikiria atachonijazia!!!!!! Kama mjuavyo mimi 1. NI MNYWAJI,n thus damn expensive 2. Shopaholic nasanya taka madukani balaa another expense! 3. Mtu wa company sana so matumizi balaaa. That promotion is very important to me!!!! Hata hizo bonas coz im in huge Debts!!!! Diaspora ananifanyia Bettle za wazi wazi, najua lazima aniharibie. Safari zangu anazikalia, OT anaziover rule, Commissions kanipunguzia % yaani Kama i had a choice ninge resign ila kitaa hali tete. Ningekuwa na uwezo NINGEENDA KUMLOGELEA MBALI atulieee ila ndo siamini hizo makitu.
Sasa wakuu wangu wazee wa kujipendekeza embu nishaurini NIFANYAJE INODER TO TRICK/MOTIVATE DIASPORA TO NOMINATE ME FOR THE PROMOTION!!!!!!!!! Nitumie silaa gani? (Ushauri wa kumpa UC*I SIUTAKI KABISAAA) There gotta be another way for me to motivate him!!!!!!!!!! High class peoples wajameni help me ooooooooh!!!! Nimefikiria nimpe zawadi ya membership ya 1 year golf club jimkhana but i can barely afford that, alaf akiikataa ni non refandable!!!! Nitajikojoleajeeee! (Takrima ni gharama kubwaaa!)
People clock is ticking!!!!!! I gotta put all my cards on the table n i got shit!!!!!!!!! Please dont start judging me (jst thank God you aint like me), i know i aint the best example bt the sister is tryin hard!!!!!!! Cut me slack today! I promisw ill change! Okay!!!! For now mnisaidie nipate hilo PROMO KIBINGWAAAA!
mpe kipele tu, kwani kina kazi gani?
Kingekuwa na faida nyingine ungekiambia kikusaidie kazi ili upafomu.
mpe kipele tu, kwani kina kazi gani?
Kingekuwa na faida nyingine ungekiambia kikusaidie kazi ili upafomu.
Haswaaaaaaaaaaaaaa! Ndiye yeye mwenyewe!
Mmmmmh! Huyu alinitokea, nikampa cha mbavu sasa kumuanza urafiki naona nomaaa, asije taka tena zigo!!!!!!! Na nikimuendea kichwa kichwa atanishushuaajeeee!!!!!!!! Kaka ana SHAZIII huyo balaaaa! Hapa inabidi kumconer angle X ambayo hachomoi! Ndo ipi sasa?
Lara 1, si utani namna unavyojua kuandika hizi habari I picture you as a lady whom I can spend two/three/four hours without getting bored, kula mia..Yaani bado nafikiri mbona uko mtata na very interesting namna hiyo!!?? I really admire that sense of humour dadaaa!!Wakubwa shikamooni!!!!!!!!
How do you do my Broders n Sisters from Another Mother!!!!!!!!!
Mie mzima ila ndo mwaka wafikia mwisho hivooo, sasa pale kwa ofisi tumepewa PERFORMANCE EVALUATION FORMS ili kutupima utendaji wetu, na inshaalah! Mola akijaalia mwakani tupate hivo vyeo na bonas za kufungia mwaka! Hizi PEF yabidi kwanza nijijazie mwenyewe, alaf nimpeleke MKUU DIASPORA, alfu na MKUU WA IDARA nae anijazie!!!! Najambajeee sasa!
Utendaji wangu nahisi mwaujua ni wa KUCHAKACHUA mwanzo mwisho, Kwanza Naibia nasoma full time(msiniulize nawezaje, siri ya biashara) Pila nashinda humu JF, Tatu mingo za grave yard hazinikauki kuchonga ngenga na kupoteza muda. I know im not the best employee n im sorry bt life is too fast, cut me some slack people okay!!!!! Sina bahati kama nyinyi ya kulipwa 7figures na sina bima wala trust fund. Sina majumba ya kukusanya kodi, mama lara 1 anakaba kila angle. I survive on my own!!! Asister gotta eat n survive Okay!!!!!!!!!
Sasa mkuu wa idara ni maza flani, tunaelewana sana coz namuoneshaga mingo za pamba na mipochi pale Mwenge na Kino, nimemuunga na suppliers wa designer perfumes na make ups. In short maza shosti wangu sanaaaa, namuonesha jiji na mataa yake. Hadi zawadi ya mumewe ya anivesary nimechagua na kuinunua mimi! Ile fomu atanijazia poa sanaaa! Mjini Mipango.!!!! (Lazima kujikombe once in a while)
Tatizo lipo kwa Boss Diaspora!!!!!!!! Hali ya baba wa taifa ni tete! Toka nimpe cha mbavu basi kanitoa moyoni jumla jumla. Najmbajeeeenikifikiria atachonijazia!!!!!! Kama mjuavyo mimi 1. NI MNYWAJI,n thus damn expensive 2. Shopaholic nasanya taka madukani balaa another expense! 3. Mtu wa company sana so matumizi balaaa. That promotion is very important to me!!!! Hata hizo bonas coz im in huge Debts!!!! Diaspora ananifanyia Bettle za wazi wazi, najua lazima aniharibie. Safari zangu anazikalia, OT anaziover rule, Commissions kanipunguzia % yaani Kama i had a choice ninge resign ila kitaa hali tete. Ningekuwa na uwezo NINGEENDA KUMLOGELEA MBALI atulieee ila ndo siamini hizo makitu.
Sasa wakuu wangu wazee wa kujipendekeza embu nishaurini NIFANYAJE INODER TO TRICK/MOTIVATE DIASPORA TO NOMINATE ME FOR THE PROMOTION!!!!!!!!! Nitumie silaa gani? (Ushauri wa kumpa UC*I SIUTAKI KABISAAA) There gotta be another way for me to motivate him!!!!!!!!!! High class peoples wajameni help me ooooooooh!!!! Nimefikiria nimpe zawadi ya membership ya 1 year golf club jimkhana but i can barely afford that, alaf akiikataa ni non refandable!!!! Nitajikojoleajeeee! (Takrima ni gharama kubwaaa!)
People clock is ticking!!!!!! I gotta put all my cards on the table n i got shit!!!!!!!!! Please dont start judging me (jst thank God you aint like me), i know i aint the best example bt the sister is tryin hard!!!!!!! Cut me slack today! I promisw ill change! Okay!!!! For now mnisaidie nipate hilo PROMO KIBINGWAAAA!