Mkuu kwani hakuna namna ya kuupoza na transfomaMkuu huo umeme unanguv Sana unawez kuunguz kila kitu
Fafanua kidogo mkuuKwa kutumia Landfill gas, na sio hio tuliyokuwa tunaaminishana kuwa unadumbukiza batteries za gari zilizoungwa na waya, waya huo ndo unaunga ndani🤭
Kwani hujawahi kusikia Muhimbili wamegundua dawa ya kisukari lakini hadi leo hawajamtibu mgonjwa hata mmoja kwa dawa hiyoTangu miaka ya zamani tuliaminishwa hivyo"
Kwamba karo la choo likiwa na kinyesi liwauwezo wa kuzalisha Megawatt za kutosha!
Sijui kwanini hadi Leo wanasayansi wapo kimya!
Yamkini tungekuwa na STIEGLERS ndogo ndogo kila mtaa!
Tofautisha Bio gas inayotoka kwenye kinyes cha ng'ombe, HAPA tunazungumzia kinyes cha binadamUnless unasemea tanzania ila kwa wenzetu mbona kawaida kwa maeneo ya remote areas. Pinda mwenyewe shambani kwake anatumia umeme wa kinyesi cha ng'ombe
Kwahiyo ishu ni joto Siyo CHARGING!. Vipi kama mtu ataziweka betri hizo kwenye ovener at minimum temperature!Hizi ni consipiracy tuu. umeme wa mavi ni just betri za redio unazitumbukiza chooni lakin hazigusi kinyesi. so kutokana na joto battery zinakua active muda wote hadi zife.
Ni hicho tuu
Kwahiyo ishu ni joto Siyo CHARGING!. Vipi kama mtu ataziweka betri hizo kwenye ovener at minimum temperature!
Hata kinyesi cha binadamu kinazalisha biomethane ambayo ni RNG inatumiaka kuendesha generator za kuzalisha umeme. Kitu amabzo inabidi ujue hata nuclear reactors zinazotumia uranium, siyo kwamba uranium inazalisha umeme, bali inazalisha joto linalotumiaka kutengeneza mvuke ambao utazungusha turbines ilikuzungusha generator izalishe umeme, kama ilivyo kwenye hydroelectric plants.Tofautisha Bio gas inayotoka kwenye kinyes cha ng'ombe, HAPA tunazungumzia kinyes cha binadam
Hizi ni consipiracy tuu. umeme wa mavi ni just betri za redio unazitumbukiza chooni lakin hazigusi kinyesi. so kutokana na joto battery zinakua active muda wote hadi zife.
Ni hicho tuu
Hii mimi nilijaribugi kabisa..sema kwa kutumia bettery za redio..lakini sikupata resultKwa kutumia Landfill gas, na sio hio tuliyokuwa tunaaminishana kuwa unadumbukiza batteries za gari zilizoungwa na waya, waya huo ndo unaunga ndani
Kwani hujawahi kusikia Muhimbili wamegundua dawa ya kisukari lakini hadi leo hawajamtibu mgonjwa hata mmoja kwa dawa hiyo
Maji taka yanamwagwa kwenye mabwawa hayo maalum, kwa miaka kadhaa, inapatikana gesi, wanaiita Landfill, hiyo sasa ndio inayotumika kuendesha mitambo ya kufua umeme. Harufu yake ni hivyo hivyo boss😊Fafanua kidogo mkuu
Mkuu huo umeme unanguv Sana unawez kuunguz kila kitu
Sasa kwani wewe si unakili...ya kufungua Kvant TU.. hata ya kuchamba mavi HUNADah, nilikuwa nadumbukiza betri na kuzamisha kabisa chooni halafu nyaya nakonekti ndani ila hakuna umeme wala nn. Kumbe nilikosea!
Hizi ni consipiracy tuu. umeme wa mavi ni just betri za redio unazitumbukiza chooni lakin hazigusi kinyesi. so kutokana na joto battery zinakua active muda wote hadi zife.
Ni hicho tuu