chief_mtemi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 529
- 121
- Thread starter
- #201
we jamaa umejaa dharau sana kwa wanawake, yaani kweli uliwaonesha huo mkanda wazazi wake?..sa heshima ya elimu ulonayo iko wapi akati mwenyewe ulitambua fika kuwa alilewa then akabebwa, kifupi tangu mwanzo wa mahusiano yako kuna vitu ulikosea na ndo maana yamekukuta haya KOSA moja tu uliingia kwa gia ya PESA..ndio pesa ni muhimu kwenye mahusiano endapo tu italeta au kupelekea utoshelevu wa kimwili na kiroho kwa wahusika..sikiliza acha kuendelea kumpaka matope huyo dada kwa kusambaza habari zake "eti alipigwa mtungo" kwa nduguzo wengine au rafikizo tabia hii haifanani na ulivyo na zaidi ina madhara makubwa kwa mwathirika..
sio dharau yy ndo alianza kuleta dharau mkuu kwanii hakuwa najiheshimu paka aanze kwenda club pekeyake angali akijua mm simo na hakuwa mkweli mengi ukimuliza anaficha paka pawe na ushahidi wa kama hizi picha