King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Jamani king'ati utanishtua huyu mjeshi akirudi..ngoja nende zangu jukwaa la stress mie.
Tunasubiria utafikiri count-down ya mwaka mpya...lolz!
yaani leo hata morning glory nimemrusha Paw wangu. Lakini haijatosha. Mweeeh! Ngoja nikaoge kwanza manake mtoto wa kike ntaaza kunukia mchele sasa!
Ciello shika siti nakuja. Nibebe na kiporo cha lunch kabisaa.
Last edited by a moderator: