Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Kabla ya kudhani kakufanyizia check yafuatayo
1. Lifestyle yako imabadilika (kipato chako kimebadilika)
2. Afya yako iko Ok? (Unapata haja kubwa sawasawa, haja ndogo je, usingizi, tumbo linajaa gesi, nk)
3. Ratiba zako zipo kama zamani au kuna mabadiliko, may be kutokana na kubadilisha ajira?
1. Lifestyle yako imabadilika (kipato chako kimebadilika)
2. Afya yako iko Ok? (Unapata haja kubwa sawasawa, haja ndogo je, usingizi, tumbo linajaa gesi, nk)
3. Ratiba zako zipo kama zamani au kuna mabadiliko, may be kutokana na kubadilisha ajira?