nilistahili malipo haya?

Dogo1

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
1,361
576
nilikua na girlfriend ambaye wakati wowote ambao yeye alinihitaji kwa ajili ya sex alikuwa anasafiri kutoka mkoa anaoishi kunifuata nilipo na kupeana malavi davi. Aidha mm nikimuhitaji alikua ananifuata popote nilipo hata nje ya mkoa ninaoishi. Safari zote alitumia fweza yake.

Ilifika mda nikwambia mahusiano yetu kingono nataka tuyasahau tubaki marafiki tu wa kawaida kwa sababu ambazo nilimueleza.

Hakukubaliana na hoja yangu na yeye akataka lazima tuendeleze mchezo wa ngono. Nikwambia msimamo wangu hautabadilika. Akanijibu siwezi kumwacha kirahisi namna hiyo!

Wandugu nilika kama juma moja tu kilichofuata nikajikuta siwezi kusimamisha mlingoti kama ilivyokuwa kawaida yangu! Hata uwezo wangu wa kufunga magoli ukawa umepungua kwa hali ya kutisha. Nikiwa na huyu mdada nilikuwa na ubavu wa kutumbukia kimiani magoli si chini ya matatu ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza! Yeye mwenyewe alikuwa anazimika kwa muda anapofika cloud 9!

Tokea yamenikuta haya, hata simu yangu hapokeai!
 
Wandugu nilika kama juma moja tu kilichofuata nikajikuta siwezi kusimamisha mlingoti kama ilivyokuwa kawaida yangu! Hata uwezo wangu wa kufunga magoli ukawa umepungua kwa hali ya kutisha. Nikiwa na huyu mdada nilikuwa na ubavu wa kutumbukia kimiani magoli si chini ya matatu ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza! Yeye mwenyewe alikuwa anazimika kwa muda anapofika cloud 9!

Tokea yamenikuta haya, hata simu yangu hapokeai!

bora sasa uchukue likizo.......nilifikiri ulimwomba mapumziko sasa yamekuja yale ya kiujumla kabisa.pumzika mwaya LOL
 
Duh; dogo pole sana!
Kweli hukustahili malipo haya, Rutashubanyuma njoo umcouncil dogo.
 
Last edited by a moderator:
So u r already here!
Sasa sijui dogo afanyaje kurudisha hali yake ya kawaida! By the way dogo, kama hutajali why did u dump her?

dogo hahitaji counselling anachohitaji ni mapumziko ya milele./[MENTION]Kaunga, Dogo1[/MENTION]
 
Last edited by a moderator:
So u r already here!
Sasa sijui dogo afanyaje kurudisha hali yake ya kawaida! By the way dogo, kama hutajali why did u dump her?

ni binti mwenye sifa zote unazozijua, tulishinwana kwenye imani za dini. Nilimshauri tufunge ndoa ili tule tundi kwa nafac na kwa halali, bt hatukuafikiana ktk hilo
 
aisee unahitaji maombi bibie ashakuvuruga...na huyo mwanamke nae ana pepo la ngono ndio nini kupenda ngono namna hiyo
 
aisee unahitaji maombi bibie ashakuvuruga...na huyo mwanamke nae ana pepo la ngono ndio nini kupenda ngono namna hiyo

anapenda ngono balaaaaa kama ninavyopenda mm waungwana! Nilikuwa namsugua kweli kweli. Kabla haya hayajotea hakusita kuniambia kuwa ameruka sana na washkaji but walikuwa wanampotezea mda,, alikuwa hajuwi kuwa kuna kitu inaitwa climax!
 
ni binti mwenye sifa zote unazozijua, tulishinwana kwenye imani za dini. Nilimshauri tufunge ndoa ili tule tundi kwa nafac na kwa halali, bt hatukuafikiana ktk hilo

kama msha do nae kustop kunasaidia nini??mshatenda dhambi,endeleeni tu..kwa maana hapo mnaidanganya nafsi yenu.Ila c mungu.
 
Mi nilifikiri umemuacha kwa sababu hutaki tena kufanya uzinzi,kumbe bado unaendelea lol! Pole dogo
 
anapenda ngono balaaaaa kama ninavyopenda mm waungwana! Nilikuwa namsugua kweli kweli. Kabla haya hayajotea hakusita kuniambia kuwa ameruka sana na washkaji but walikuwa wanampotezea mda,, alikuwa hajuwi kuwa kuna kitu inaitwa climax!

Unahisi kakufanya kitu au wasiwasi wako tuu? unajua wasiwasi unakua maradhi saanyengine! na sio vizuri kumfikiria labda amekufanya kitu,hutaki kukubali kua huyu mwanamke na yeye pia alikua anakuvumilia mikiki yako na umemzowea mwengine kua nae hawezi kuhumili dharuba zako au wewe hujamzowea kama ulivyomzowea yule siunajua mazowea yanatabu.
 
anapenda ngono balaaaaa kama ninavyopenda mm waungwana! Nilikuwa namsugua kweli kweli. Kabla haya hayajotea hakusita kuniambia kuwa ameruka sana na washkaji but walikuwa wanampotezea mda,, alikuwa hajuwi kuwa kuna kitu inaitwa climax!

Unahisi kakufanya kitu au wasiwasi wako tuu? unajua wasiwasi unakua maradhi saanyengine! na sio vizuri kumfikiria labda amekufanya kitu,hutaki kukubali kua huyu mwanamke na yeye pia alikua anakuvumilia mikiki yako na umemzowea mwengine kua nae hawezi kuhumili dharuba zako au wewe hujamzowea kama ulivyomzowea yule siunajua mazowea yanatabu.

tulikuwa tamekutana kwa kweli, yeye anajua wajibu wake pale kwa kitanda na mimi nilijua wajibu wangu ndo mana nikapropose ndoa
 
Back
Top Bottom