Dogo1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,361
- 576
nilikua na girlfriend ambaye wakati wowote ambao yeye alinihitaji kwa ajili ya sex alikuwa anasafiri kutoka mkoa anaoishi kunifuata nilipo na kupeana malavi davi. Aidha mm nikimuhitaji alikua ananifuata popote nilipo hata nje ya mkoa ninaoishi. Safari zote alitumia fweza yake.
Ilifika mda nikwambia mahusiano yetu kingono nataka tuyasahau tubaki marafiki tu wa kawaida kwa sababu ambazo nilimueleza.
Hakukubaliana na hoja yangu na yeye akataka lazima tuendeleze mchezo wa ngono. Nikwambia msimamo wangu hautabadilika. Akanijibu siwezi kumwacha kirahisi namna hiyo!
Wandugu nilika kama juma moja tu kilichofuata nikajikuta siwezi kusimamisha mlingoti kama ilivyokuwa kawaida yangu! Hata uwezo wangu wa kufunga magoli ukawa umepungua kwa hali ya kutisha. Nikiwa na huyu mdada nilikuwa na ubavu wa kutumbukia kimiani magoli si chini ya matatu ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza! Yeye mwenyewe alikuwa anazimika kwa muda anapofika cloud 9!
Tokea yamenikuta haya, hata simu yangu hapokeai!
Ilifika mda nikwambia mahusiano yetu kingono nataka tuyasahau tubaki marafiki tu wa kawaida kwa sababu ambazo nilimueleza.
Hakukubaliana na hoja yangu na yeye akataka lazima tuendeleze mchezo wa ngono. Nikwambia msimamo wangu hautabadilika. Akanijibu siwezi kumwacha kirahisi namna hiyo!
Wandugu nilika kama juma moja tu kilichofuata nikajikuta siwezi kusimamisha mlingoti kama ilivyokuwa kawaida yangu! Hata uwezo wangu wa kufunga magoli ukawa umepungua kwa hali ya kutisha. Nikiwa na huyu mdada nilikuwa na ubavu wa kutumbukia kimiani magoli si chini ya matatu ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza! Yeye mwenyewe alikuwa anazimika kwa muda anapofika cloud 9!
Tokea yamenikuta haya, hata simu yangu hapokeai!