Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Wabongo kwa kamba!Nasikia nyerere alimkataaga Baloz wao kwasabab jina lake lilikuwa na ukakas jamaa jina lake lilikuwa qumermoto tombambele. Nyerere naskia akasema this is bulshit kukataa hati yake ya utambulisho na kumtimua faster