Nilimuoa kwa huruma ya mimba, moto unazidi kuwaka ndani

Fimbo kabisa km school girl😀😀😀 na bado unataka upikiwe na k upewe nyokooo zako ndo maana mnakufa vifo tatanishi maana kama yeye kakosea na ukamuadhibu kwa fimbo basi ujue yeye atakuadhibu kwa mbinu anazozijua yeye
 
Mkuu , usitumie nguvu Sana kumbadilisha MTU.

Unapomuona mke wako hatoi ushirikiano don't demand her attention.

Kama sio mgonjwa jifanyie shughuli zako mwenyewe .

Waweza kupika
Waweza kujifulia
Waweza kujioshea hadi vyombo.

So kuliko kuwa na migogoro ambayo itakuletea stress, hasira, chuki n.k.

We Jifanyie kazi zako mwenyewe , mfano Una njaa siunaweza kupika.
Sasa ukisha fika hatua hiyo maana ya kuoa na kuwa na mke ni ipi,si bora aende akaolewe mbele ya safari
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.

Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.

Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
huyo mwananmke kabila gani
 
Sijajua shida ni kabila au Nini, lakini Leo nimemchezeshea kichapo sio kidogo.

Iko hivi: juzi nimerudi nikiwa nimehemea sikupokelewa nikakausha, Jana nimerudi nikiwa nimehemea nikapondewa vitu nilivyovileta kuwa vimeoza, basi nikasema isiwe kesi kuanzia kesho nitaacha tu pesa sitahemea kitu Tena.

Basi asubuhi nikaacha hela nikamwambia akasage mahindi au akanunue tu unga maana ndani vitu vingine vipo.

Nimerudi mchana sijakuta chakula kuuliza, nikaambiwa hawezi kwenda dukani mtoto ni mdogo, ana miezi mitatu,

Basi nikalala zangu kidogo, baadae nikajisapia zangu, basi baada ya harakati mida ya saa mbili narudi nakuta hela ipo pale pale, nikauliza kwanini, nikaambiwa mtoto.

Basi nikamwambia afanye awezalo mimi nile kwani sijala toka asubuhi, nikamwambia anipe mtoto aende dukani Kama hataki Shari na Mimi.

Basi akachukua hela kishingo upande akaenda, muda mfupi akarejea na mfuko mtupu.

Akaniambia duka limefungwa, nikamwambia mbona ya pale mbele yako wazi, akanijibu hawezi kwenda huko mbali, nikainama uvunguni na kutoa fimbo, nikamtishia kuwa ntamchapa akalete unga.

Nilivyoona mbishi nikamweka moja ya mgongoni, akanifuata na kutaka kukamata fimbo, nikadhibiti nikawa namchapa mapajani na miguuni, akaivunja fimbo, basi ikabidi mikono ichukue majukumu ya fimbo, kwasababu niliona ni mbishi nikamuweka vibao na kumlaza chini nikaanza kumwasha vibao huku na maonyo juu, ni mbishi hatari,

Uzuri kulikuwa na mvua hivyo kelele hazikuwa kitu.

Usioe mwanamke kisa umempa mimba, ndio yaliyonikuta mimi kwa kujifanya ni wa huruma.
Eeeeh kazi ipo
 
Sio kwa huyu mchaga kaka, yaana hata ukila mwezi mzima yy hawazi na hata nikimuonyesha dalili kuwa nataka kwenda nje kuchepuka kwake ni poa tu
Kwanini unaendela kupotoka? Kwa hiyo umeoa mizimu yote ya kichaga? Nakusikitikia sana, ungekuwa umeoa watu wa kanda ya ziwa ungejuta kuitwa mwanaume.

Kwa hiyo akikohoa unaunganisha na uchaga? Nilitaka kukusaidia lakini kwa vile umetaja kabila kama vile hapa jf ni kilinge cha kutambika potelea mbali.
 
Kati ya kitu nilichojifunza usioe mwanamke kwa kumhurumia utajuta, wala usitegemee fadhila ukimpa msaada yaan Fanya ni sadaka (some time hata akikupa pussy usile) hawajua cha Kesho ndo walivyoumbwa lakin wala usiwalaumu
Hili ni la muhimu sana na wengi hawalizingatii hilo. Mwanamke ni kiumbe ambae hana fadhila na hana shukrani hasa kwenye ishu ya mapenzi. Unaweza kumtoa mahali pagumu/pabaya ambapo unaweza kuona kwa hali aliyokuwa nayo hawez kukubadilikia lakini ni tofauti huwa hawajali ulichokifanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom