It's just pathetic. Habari nilizokuwa nikizisikia kuhusu shule ya Pugu uzuri wake ni kinyume kabisa na picha inayoonekana.
Wenzangu waliniambia PUGU maana yake ni People who Usually Go to University, yaani kwa anayesoma Pugu suala la kwenda university ni uhakika, si la kuuliza. Sijui kama bado ni hivyo kwa picha niliyoona.
Wenzangu waliniambia PUGU maana yake ni People who Usually Go to University, yaani kwa anayesoma Pugu suala la kwenda university ni uhakika, si la kuuliza. Sijui kama bado ni hivyo kwa picha niliyoona.