Nililala hapa

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
LILIKUWA BWENI LANGU HILI!
01_10_1t3er7.jpg



Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika bweni la Mapinduzi One, alilolala wakati akiwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Pugu, nje kidogo ya Dara es Salaam kwenye miaka ya 1960.Wazri Mkuu alitembelea shule hiyo jana wakati wa mahafali ya kidato cha Sita.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

My take, hii picha inakufundisha nini wewe kama mwana JF.
 
Sasa anachoshangaa ni nini?kama ilivo kawaida yake unaweza sikia ameanza kulalamika, mambo ya huyo mtoto wa mkulima bwana!!
 
Shule zetu tulizosoma zinatisha ni hivi karibuni zitakuwa magofu. Serikali haitoi hata senti tano kwa ajili ya maintanace ya shule hizo. Hii yote inatokana na donor dependence syndrome tuliyojijengea tunasubiri wafadhili, wawekezaji wakati hela ambayo tunayo tutumia kupuyanga nje ya nchi na kununulia Matoyota vx, nyumba za mawaziri na magavana wamabenki.

Can anyone imagine toka mradi wa Danida wa school maintanance project ulivyokwisha shule zinaendeshwa bila matenegenezo hata kidogo. Last year nilipata nafasi ya kutembelea shule nilizosoma A level na O level. Najaribu kuzipost nashindwa zikiwa posted hapa ni aibu naomba hii thread iendelezwe kwa yoyote mwenye picha ya shule aliyosoma enzi hizo ili tuone madudu na maajabu.

Halafu matokeo yakitoka mabaya serikali inajiuliza wakati jibu ni wazi kabisa. Watanzania tuna nini.

Mkuu wa nchi badala ya kutembelea shule hizi aone madudu na uozo na aweke mikakati nini kifanyike yeye anaenda kufungua shule ya mtu binafsi sijui inaitwa Savvanah something ambayo ada yake mtanzania wa kawaida ataisikia tu kwenye gazeti.

Hakielimu ya wakati huo ilikuwa sawa na matangazo yake ya KAYUMBA this is KAYUMBALISATION of the education system in the country.
 
Bila watanzania kubadilika ki-mtazamo na kujali zaidi ukarabati........ni sawa na kazi bure. Ukiangalia vyuo na ofisi za wenzetu huku ng'ambo yaani matengenezo/ukarabati wa majengo na vifaa vingine ni kila mwaka lakini kwa Tanzania unakuta bajeti kubwa ni ya matumizi ya mkuu wa idara/sehemu na ukiuliza hela za matengenezo unaambiwa hakuna pesa lakini magari ya wakubwa yote hayawezi kukosa pesa ya mafuta kwa mwakak mzima.
 
Shule zetu tulizosoma zinatisha ni hivi karibuni zitakuwa magofu. Serikali haitoi hata senti tano kwa ajili ya maintanace ya shule hizo. Hii yote inatokana na donor dependence syndrome tuliyojijengea tunasubiri wafadhili, wawekezaji wakati hela ambayo tunayo tutumia kupuyanga nje ya nchi na kununulia Matoyota vx, nyumba za mawaziri na magavana wamabenki.

Can anyone imagine toka mradi wa Danida wa school maintanance project ulivyokwisha shule zinaendeshwa bila matenegenezo hata kidogo. Last year nilipata nafasi ya kutembelea shule nilizosoma A level na O level. Najaribu kuzipost nashindwa zikiwa posted hapa ni aibu naomba hii thread iendelezwe kwa yoyote mwenye picha ya shule aliyosoma enzi hizo ili tuone madudu na maajabu.

Halafu matokeo yakitoka mabaya serikali inajiuliza wakati jibu ni wazi kabisa. Watanzania tuna nini.

Mkuu wa nchi badala ya kutembelea shule hizi aone madudu na uozo na aweke mikakati nini kifanyike yeye anaenda kufungua shule ya mtu binafsi sijui inaitwa Savvanah something ambayo ada yake mtanzania wa kawaida ataisikia tu kwenye gazeti.

Hakielimu ya wakati huo ilikuwa sawa na matangazo yake ya KAYUMBA this is KAYUMBALISATION of the education system in the country.
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa Wizara husika zinaongozwa na ma-Professor! Mimi huwa najiuliza sisi watanzania huwa tunaenda shule hadi kufikia uprofessor kwa ajili ya nini?
hule za primary zinasikitisha zaidi maana ziko mjini hazina fensi vibaka wanaingia wafanya wanachotaka mle wakati mwingine hata madawati huibiwa kwenda kuuzia vitu. Professor kakaa kwenye kiyoyozi tu! Ufisadi huu unaweza kuwa mbaya kuliko wa akina Richmond!
 
Shule zetu tulizosoma zinatisha ni hivi karibuni zitakuwa magofu. Serikali haitoi hata senti tano kwa ajili ya maintanace ya shule hizo. Hii yote inatokana na donor dependence syndrome tuliyojijengea tunasubiri wafadhili, wawekezaji wakati hela ambayo tunayo tutumia kupuyanga nje ya nchi na kununulia Matoyota vx, nyumba za mawaziri na magavana wamabenki.

Can anyone imagine toka mradi wa Danida wa school maintanance project ulivyokwisha shule zinaendeshwa bila matenegenezo hata kidogo. Last year nilipata nafasi ya kutembelea shule nilizosoma A level na O level. Najaribu kuzipost nashindwa zikiwa posted hapa ni aibu naomba hii thread iendelezwe kwa yoyote mwenye picha ya shule aliyosoma enzi hizo ili tuone madudu na maajabu.

Halafu matokeo yakitoka mabaya serikali inajiuliza wakati jibu ni wazi kabisa. Watanzania tuna nini.

Mkuu wa nchi badala ya kutembelea shule hizi aone madudu na uozo na aweke mikakati nini kifanyike yeye anaenda kufungua shule ya mtu binafsi sijui inaitwa Savvanah something ambayo ada yake mtanzania wa kawaida ataisikia tu kwenye gazeti.

Hakielimu ya wakati huo ilikuwa sawa na matangazo yake ya KAYUMBA this is KAYUMBALISATION of the education system in the country.
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa Wizara husika zinaongozwa na ma-Professor! Mimi huwa najiuliza sisi watanzania huwa tunaenda shule hadi kufikia uprofessor kwa ajili ya nini?
shule za primary zinasikitisha zaidi maana ziko mjini hazina fensi vibaka wanaingia wafanya wanachotaka mle wakati mwingine hata madawati huibiwa kwenda kuuzia vitu. Professor kakaa kwenye kiyoyozi tu! Ufisadi huu unaweza kuwa mbaya kuliko wa akina Richmond!
 
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa Wizara husika zinaongozwa na ma-Professor! Mimi huwa najiuliza sisi watanzania huwa tunaenda shule hadi kufikia uprofessor kwa ajili ya nini?
shule za primary zinasikitisha zaidi maana ziko mjini hazina fensi vibaka wanaingia wafanya wanachotaka mle wakati mwingine hata madawati huibiwa kwenda kuuzia vitu. Professor kakaa kwenye kiyoyozi tu! Ufisadi huu unaweza kuwa mbaya kuliko wa akina Richmond!

MpendaTz,

Nafuu umeliongelea hili la maprofesa. Mi nashindwa kuwaelewa hawa watu, utakuta mtu profesa lakini hana hata website wala hajulikani ni profesa wa nini na currently anajishughulisha na nini kulimngana na uprofesa wake, maana maisha ya kielimu tayari yameshawashinda. Sasa wanabaki kuganga njaa kwenye siasa na kusema mambo ya kijinga ajabu. Chukulia mfano wa Kapuya na ajira 1 M. Ni upuuzi mtupu!
 
Kinachonisikitisha zaidi ni kuwa Wizara husika zinaongozwa na ma-Professor! Mimi huwa najiuliza sisi watanzania huwa tunaenda shule hadi kufikia uprofessor kwa ajili ya nini?
Uoga na maslahi ndio tatizo. Hope mmenipata
 
Sina nia ya kuwakashfu maprofesa wetu lakini siku hizi siasa za CCM zimewalemaza sana na kuwapelekea kupoteza mwelekeo. Siamini kama mtu kweli umeelimika utakubali kuacha kazi muhimu ya kuelimisha na na kutafiti ukakae unapiga domo tena bila mafanikio yoyote kama tunavyowaona na wakivumilia uongo na ujinga mwingi namna ilivyo sasa. CCM imeufanya uprofesa kuwa chaguo lao siku hizi kutoka kwenye taasisi muhimu ili kupamba siasa zao kama kuchagua sekretari mrembo wa kupamba ofisi! Nalaani kitendo hiki hakisaidii ujenzi wa taifa letu.
 
WHAT??? Hii ndio ilikuwa moja ya shule za "vichwa" enzi hizo!!
Mimi ninazo picha za shule niliyosoma zamani, nilienda, sikuamini, nitazipost karibuni, nadhani kuna mtakaoitambua shule hiyo!!
 
Tatizo ni serikali au wazazi? Nani anatakiwa kugharamia elimu na mahitaji ya mtoto wake? Tusitupe kila jambo kwa serikali. Karo ya sekondari ni 20,000 kwa mwaka napo watu wanalalamika kuwa ni nyingi. Tutegemee nini? Waliosoma nje wanajua karo zao! Mtoto wangu anasoma Isamilo International school yuko grade II primary school na karo ni Pauni 2000 kwa mwaka. Kaitembelee Shule uone ilivyo bomba....

Fanyeni kazi kwa bidii mlipie gharama za huduma siyo kulalamika tu!
 
Bila watanzania kubadilika ki-mtazamo na kujali zaidi ukarabati........ni sawa na kazi bure. Ukiangalia vyuo na ofisi za wenzetu huku ng'ambo yaani matengenezo/ukarabati wa majengo na vifaa vingine ni kila mwaka lakini kwa Tanzania unakuta bajeti kubwa ni ya matumizi ya mkuu wa idara/sehemu na ukiuliza hela za matengenezo unaambiwa hakuna pesa lakini magari ya wakubwa yote hayawezi kukosa pesa ya mafuta kwa mwakak mzima.
Mkuu hata bajeti ya chai tu ikaachwa ifanye kazi hii kwa miaka mitatu mabadiliko lazima yataonekana.
Suala ni who cares?
 
Watanzania hatuna utamaduni wa maintenance wala hata hatukuwa na neno la kiswahili lenye maana hiyo. Neno ukarabati tumelibuni miaka ya hivi karibuni tu, nadhani mwanzoni mwa miaka ya tisini tu, na wala hatujaweza kujenga tabia hiyo akilini mwetu. Mtu akimaliza kujenga nyumba yake na kuipaka rangi akahamia basi inabaki hivyo hivyo miaka yote mpaka inapata ukuku.
 
Back
Top Bottom