Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,399
- 5,615
Vip wewe ulitoboa kuna thread 🧵 yako moja uliyatimba:-!😂Oyaaa utamua huyo jamaa kwa pressure😂😂😂
Vip wewe ulitoboa kuna thread 🧵 yako moja uliyatimba:-!😂Oyaaa utamua huyo jamaa kwa pressure😂😂😂
Upande wangu naendelea vizuri, ila bado sijaenda kupima HIV. Nasubiri mwezi utimie nijipeleke.Vip wewe ulitobo kuna thread 🧵 yako moja uliyatimba:-!😂
Hahaha usiende Kama huna dalili yoyoteUpande wangu naendelea vizuri, ila bado sijaenda kupima HIV. Nasubiri mwezi utimie nijipeleke.
Pole sana, pata ujanja wa mafuta ya kidogo hapa:Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?
Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa cha uume vikatokea vipele vingi vingi ambavyo vikawa vinatoa maji maji meupe, ikabidi niende hospital kupima sikuwa na ugonjwa wa zinaa ila Dr akasema wanipige sindano zile tano za cetr.... na dozi ya Dox ya siku tano.
Hali Musasho imeisha changamoto niliyonayo ni uume kwenye kichwa ngozi yake imekuwa na rangi yenye kama hali ya usaa usaa nimetumia iodine kukifuta wiki sasa, unakifuta baada ya muda hilo futa kama usaa linarudi na linaseleleka kushuka chini ya kichwa cha uume?.
Nimebadilisha dawa nikakisafisha kwa kutumia hydrogen peroxide kidonda chote; nikaweka sehemu yenye ki mchubuko nikainyunyizia dawa lakini asubuhi nimeamka ile hali ya ngozi kuwa na futa imerudi tena msaada wenu tafadhali..
Ajali kazini.
Ahsante mkuu, sina dalili yeyote ngoja nitulie. 😄Hahaha usiende Kama huna dalili yoyote
usiende kutafuta Mambo ambayo yanaweza kuwa juu ya uwezo wako
Hakuna cha Ajali kazini! Kwanini msipimane kabla ya kukulana? Siku hizi kuna Vipimo hadi vya gono. Syphilis hepatitis, HIV hata ovulation ili usije singiziwa kuwa umempa mimba. MnaudhiHabari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?
Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa cha uume vikatokea vipele vingi vingi ambavyo vikawa vinatoa maji maji meupe, ikabidi niende hospital kupima sikuwa na ugonjwa wa zinaa ila Dr akasema wanipige sindano zile tano za cetr.... na dozi ya Dox ya siku tano.
Hali Musasho imeisha changamoto niliyonayo ni uume kwenye kichwa ngozi yake imekuwa na rangi yenye kama hali ya usaa usaa nimetumia iodine kukifuta wiki sasa, unakifuta baada ya muda hilo futa kama usaa linarudi na linaseleleka kushuka chini ya kichwa cha uume?.
Nimebadilisha dawa nikakisafisha kwa kutumia hydrogen peroxide kidonda chote; nikaweka sehemu yenye ki mchubuko nikainyunyizia dawa lakini asubuhi nimeamka ile hali ya ngozi kuwa na futa imerudi tena msaada wenu tafadhali..
Ajali kazini.
...Usaha, Sio usaa...!Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?
Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa cha uume vikatokea vipele vingi vingi ambavyo vikawa vinatoa maji maji meupe, ikabidi niende hospital kupima sikuwa na ugonjwa wa zinaa ila Dr akasema wanipige sindano zile tano za cetr.... na dozi ya Dox ya siku tano.
Hali Musasho imeisha changamoto niliyonayo ni uume kwenye kichwa ngozi yake imekuwa na rangi yenye kama hali ya usaa usaa nimetumia iodine kukifuta wiki sasa, unakifuta baada ya muda hilo futa kama usaa linarudi na linaseleleka kushuka chini ya kichwa cha uume?.
Nimebadilisha dawa nikakisafisha kwa kutumia hydrogen peroxide kidonda chote; nikaweka sehemu yenye ki mchubuko nikainyunyizia dawa lakini asubuhi nimeamka ile hali ya ngozi kuwa na futa imerudi tena msaada wenu tafadhali..
Ajali kazini.
Ulifanya vipi mkuu mpk ukawa sawa?Wakuu nashukuruni kwa ushauri wenu?, mambo yako vizuri nilipata mawazo ya ghafra nimekoma kudumbukiza dumbukiza ovyo, .
Vipi umepona mkuuWakuu nashukuruni kwa ushauri wenu?, mambo yako vizuri nilipata mawazo ya ghafra nimekoma kudumbukiza dumbukiza ovyo, .
pole sana mkuu, ulipiga zile manzi za telegram?Habari Wadau, kama wasemavyo mficha maradhi kifo humuumbua, kwa namna moja huenda kuna mtu ashawahi kupitia changamoto kama hii anaweza nipa ushauri?
Nilikutana na mwanamke baadae nikasikia hali ya muwasho, katika uume wangu nikaenda dukani nikanunua Azuma nikanywa, ila baadae kwenye kichwa cha uume vikatokea vipele vingi vingi ambavyo vikawa vinatoa maji maji meupe, ikabidi niende hospital kupima sikuwa na ugonjwa wa zinaa ila Dr akasema wanipige sindano zile tano za cetr.... na dozi ya Dox ya siku tano.
Hali Musasho imeisha changamoto niliyonayo ni uume kwenye kichwa ngozi yake imekuwa na rangi yenye kama hali ya usaa usaa nimetumia iodine kukifuta wiki sasa, unakifuta baada ya muda hilo futa kama usaa linarudi na linaseleleka kushuka chini ya kichwa cha uume?.
Nimebadilisha dawa nikakisafisha kwa kutumia hydrogen peroxide kidonda chote; nikaweka sehemu yenye ki mchubuko nikainyunyizia dawa lakini asubuhi nimeamka ile hali ya ngozi kuwa na futa imerudi tena msaada wenu tafadhali..
Ajali kazini.