maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Kumbe ni kweli ulikuwa wewe
naona umeanza kupona, kumbe unanitambua kabisa!
Kumbe ni kweli ulikuwa wewe
Mie ni mpishi hapa Mirembe, nadhani hujapona...
kweli kabisa, mimi ni daktari wa vichaa pale milembe, nakumbuka ulishaletwa pale 2kakuadmitt, vp lakini hali yako? Unaendeleaje?
unaulizia hali yake wakati unaona hata uzi wake unaonesha bado ni kichaa kabisa...!!
Aiseee, naona umepona, mpaka umekuja JF!!!Wewe unaesoma thread hii sura yako siyo ngeni machoni mwangu, ni wazi nilikuona mirembe
Aiseee, naona umepona, mpaka umekuja JF!!!
Wewe unaesoma thread hii sura yako siyo ngeni machoni mwangu, ni wazi nilikuona mirembe
hUYU NI SOME TIME YES,SOMETIME NO!!!
SO USIMUONE YUKO FIT ATAKUBADILIKIA OHO.......!!
Aaaaawapi mimi ni BABA YAKE
MZAZI ivi hapa tupo Ubungo Temnory tume mfunga KAMBA tunangoja BUS LA
SHABIBIY tunamtia kwenye BOOT Mumpokee huko tuna mludisha MILIMBE sasa
ivi ndio KIMEPANDA HASWA HAFAI kuishi na BINADAM YEYOTE hapa
mjini
Yani vichaa wameongezeka sana ona sasa vichaa mmekuja ku support kichaa mwenzenu haya we kichaa mkubwa embu rudisha hyo laptop ya doctor
Kaka! Kumbe kweli ulikuwa wewe eeh
("kumbe kweli") ni dawa ya vichaa nawasiwasi umeitumia sana mpaka unaitajataja ovyo
Mie ni mpishi hapa Mirembe, nadhani hujapona...
Wewe unaesoma thread hii sura yako siyo ngeni machoni mwangu, ni wazi nilikuona mirembe
Wewe unaesoma thread hii sura yako siyo ngeni machoni mwangu, ni wazi nilikuona mirembe
Milimbe au Milembe, aiseee bado haujapona ndugu yangu 2takurudisha tena.