Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 454
Nafanya business online, huu mwaka wa 2
Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza,
Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa
TOA matumizi, bills, chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi 3
Mwisho wa siku baada ya matumizi hayo yote, nikajikuta nina pesa cash 1M na shilingi Kazaa
Ilipoingia February aloo Mambo yalikuwa magumu, sikupata mteja mwezi mzima.
Vivyo hivyo mwezi March hakuna mteja nimepata
Napost KILASIKU Hadi Sasa naona natumia bando la bureeee
HONGERENI MLIO AJIRIWAAAA BIASHARA INA TU MAMBO MAMBO SANA. 😁😁😁😁
Toka nimeanza kufanya haya mtokeo makubwa na mazuri niliyapata kwa Mara ya kwanza,
Ndani ya miezi 2 yaani December na January niliweza kupata 1M na shilingi Kazaa
TOA matumizi, bills, chakula n.k ndani ya hiyo miezi 2 nililipa na rent pia 120k ya miezi 3
Mwisho wa siku baada ya matumizi hayo yote, nikajikuta nina pesa cash 1M na shilingi Kazaa
Ilipoingia February aloo Mambo yalikuwa magumu, sikupata mteja mwezi mzima.
Vivyo hivyo mwezi March hakuna mteja nimepata
Napost KILASIKU Hadi Sasa naona natumia bando la bureeee
HONGERENI MLIO AJIRIWAAAA BIASHARA INA TU MAMBO MAMBO SANA. 😁😁😁😁