Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,184
- Thread starter
- #101
hakujua alichokua anafanya na hatima yake hakuijua,
wasichana wengi wazuri wabichi wanaliwa na vihuni vya kuweka vileso mifuko ya nyuma na wanaona wamefika wakifuatwa na watu wanaowapenda kwa dhati na wastaarabu wanaona ni kupotezeana muda mpaka watakapoingia mkenge.
Achana nae ameshaadhibiwa tayari
nashukuru sana mkuu kwa ushaur wako