Itakusaidiaje?Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..
Ishu yako imeharibika tayari, huyo dada niko nae hapa ameshtuka tayari.... imekula kwako, amesema utamsikia kwenye bomba tu. Kalaghabao!!!
kuda wewe huna lolote, eti namkomoa ili ashuke thamani, acha kukariri wewe nani kakwambia kuzaa kunashusha thamani ya mtu, au mama yako naye alishuka thamani alivyokuzaa wewe..unajitengenezea historia mbaya mwisho wa siku uje kumsimulia mwanao kuwa nilikuzaa ili kumkomoa mama yako, sijui atakuelewaww mbwa kaa kimya sisaliti damu nasaliti mke. Kamuulize mzee wako alivyofanya kipind ww upo tumbon inamaana na yeye alikuwa kuda?
Sasa wewe simu tu kuwekwa loud speaker ndio ikuume hivyo?! Hayo mambo ya kawaida tu, tena ungekuwa mjanja ungempata na hiyo mi loud speaker yake. Hiyo ishu ndogo sana, potezea tu. In life you win some and you lose some. Take it easy maisha yenyewe mafupi haya.
watu tuliwataja mpaka kwny morning spichi!kweli vijana wa siku hizi mna mioyo midogo sana.......... huo unaita udhalilishaji wa kuukumbuka mpaka miaka ijayo.
mnahitaji kujifunza sana kwenye hii nyanja ya mitongozano na mapenzi.
kuda wewe huna lolote, eti namkomoa ili ashuke thamani, acha kukariri wewe nani kakwambia kuzaa kunashusha thamani ya mtu, au mama yako naye alishuka thamani alivyokuzaa wewe..unajitengenezea historia mbaya mwisho wa siku uje kumsimulia mwanao kuwa nilikuzaa ili kumkomoa mama yako, sijui atakuelewa
Kumbuka wakat mko shule mlikuwa watoto na pengine ingekuwa vigum mtu kuamini kuwa ahadi unayotoa ungeitunza kwa miaka yote.....hauhitaji kulipiza kisasi,kumbuka kumpa mimba ni kuongeza ukubwa wa donda
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..
Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..
watu tuliwataja mpaka kwny morning spichi!
Full kuwataja kanisani kwa mama mchungaji
Af bado bidae yaliisha tu!
utakuwa umejibebesha hatia ya damu bure damu ya mtoto wako itakullia siku zote labda kama hupendi watoto,after all hicho kisai sio haki kama unataka na wewe si umuwekee laudi spika sasa hivi ukiwa na washkaji wako akiwa anajikanyaga na yeye achekwe kama wewe?