Nilidhalilishwa sana lazma nimuumize

Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..
Itakusaidiaje?
 
ww mbwa kaa kimya sisaliti damu nasaliti mke. Kamuulize mzee wako alivyofanya kipind ww upo tumbon inamaana na yeye alikuwa kuda?
kuda wewe huna lolote, eti namkomoa ili ashuke thamani, acha kukariri wewe nani kakwambia kuzaa kunashusha thamani ya mtu, au mama yako naye alishuka thamani alivyokuzaa wewe..unajitengenezea historia mbaya mwisho wa siku uje kumsimulia mwanao kuwa nilikuzaa ili kumkomoa mama yako, sijui atakuelewa
 
Fikiria huyo malaika(mtoto) atakavyoteseka, hahusiki kabisa we malizana na huyo msichana achana na mambo ya kutiana mimba!
 
Sasa wewe simu tu kuwekwa loud speaker ndio ikuume hivyo?! Hayo mambo ya kawaida tu, tena ungekuwa mjanja ungempata na hiyo mi loud speaker yake. Hiyo ishu ndogo sana, potezea tu. In life you win some and you lose some. Take it easy maisha yenyewe mafupi haya.
 
kweli vijana wa siku hizi mna mioyo midogo sana.......... huo unaita udhalilishaji wa kuukumbuka mpaka miaka ijayo.

mnahitaji kujifunza sana kwenye hii nyanja ya mitongozano na mapenzi.
 
Sasa wewe simu tu kuwekwa loud speaker ndio ikuume hivyo?! Hayo mambo ya kawaida tu, tena ungekuwa mjanja ungempata na hiyo mi loud speaker yake. Hiyo ishu ndogo sana, potezea tu. In life you win some and you lose some. Take it easy maisha yenyewe mafupi haya.

watu wanatemewa mate au kumwagiwa maji , chomeshwa mahindi vichakani na mbu n.k lakini bado wanakuja kutomba tu........ hawa madogo wa siku hizi hovyo kabisa
 
Ahahahahahahahahahahaha
Kuna kamsemo ka kidhungu
I hate the fact that I love u!
Huwa ni katamu kukaelewa hasa kupitia vimifano hai kama hivi!
 
kweli vijana wa siku hizi mna mioyo midogo sana.......... huo unaita udhalilishaji wa kuukumbuka mpaka miaka ijayo.

mnahitaji kujifunza sana kwenye hii nyanja ya mitongozano na mapenzi.
watu tuliwataja mpaka kwny morning spichi!
Full kuwataja kanisani kwa mama mchungaji
Af bado bidae yaliisha tu!
 
Kumbuka wakat mko shule mlikuwa watoto na pengine ingekuwa vigum mtu kuamini kuwa ahadi unayotoa ungeitunza kwa miaka yote.....hauhitaji kulipiza kisasi,kumbuka kumpa mimba ni kuongeza ukubwa wa donda

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
kuda wewe huna lolote, eti namkomoa ili ashuke thamani, acha kukariri wewe nani kakwambia kuzaa kunashusha thamani ya mtu, au mama yako naye alishuka thamani alivyokuzaa wewe..unajitengenezea historia mbaya mwisho wa siku uje kumsimulia mwanao kuwa nilikuzaa ili kumkomoa mama yako, sijui atakuelewa

fis maji ww tulia usikariri kuwa kila mtu anamtolea kauli kama hizo mwanaye? Usifikiri anavyokutamkia baba yako maneno unafikir wote ndio walivyo? Ww anakutamkia maneno hayo babayako kwasababu hana uhakika kama ww ni mwanaye anauhakika alibambikizwa... Adhabu ya mama haiwez kumwathir mtoto mzigo kama Pinda ww
 
Kumbuka wakat mko shule mlikuwa watoto na pengine ingekuwa vigum mtu kuamini kuwa ahadi unayotoa ungeitunza kwa miaka yote.....hauhitaji kulipiza kisasi,kumbuka kumpa mimba ni kuongeza ukubwa wa donda

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

yes!! Hilohilo donda ndio nataka alipate alinidharau sana na kejeli juu. Hapa dawa ni kuumia tu
 
Kama huna mpango nae achana nae kuliko kumfanyia hivyo sio vizuri kulipiza kisasi na isitoshe kipindi hicho ni utoto ndo uliokuwa unamsumbua
 
Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..

Amesha soma uzi huu humpati tena
 
Ni dada ambaye tulikuwa tunasoma kidato kimoja shule moja mkoan Mbeya. Nilimpenda sana huyu dada ikabidi nmwelezee ukweli wa moyo wangu lakin yeye alinifanya mdori wa kuchezea. Kila nikimwita pemben na kumpiga sound alikuwa anasema tuongee usku kwenye sim . Sikujua kumbe ananiweka roudspika akiwa bwenini na wananisikiliza wenzake wote ninavyojikanyaga kidume. Nilikuja kushtuka mda wa kula tukiwadyning nikakuta wananicheka na kuniangalia mm aisee sku hyo sikula chakula kila napopita mabint wananicheka ni bint mmoja ndiye alikuja kuniambia kuwa kwann wananicheka. Iliniuma sana nilijuta kumtongoza yule dada. Ilikuwa mwezi jana tareh 20 nilikutana na yule dada tukiwa kwenye gari mm nilikuwa naenda Arusha nilimkuta ana mtoto tayar alinichangamkia sana nami nikamchangamkia akaniomba namba ya sim nam nikampa. Akaanza kuniulizia kuwa nimeshaoa? Mm nikakataa tangu sku hiyo anataka tuishi pamoja. Alinikataa kipindi bado mbichi sasa hivi kazalishwa ananitaka ananifanya mm UNICEF. Sasa ameumia lazma nimtoe machoz na nimuabishe. Jana nmeshatuma posa kwao nataka nmjaze mimba na mm na nimfukuze na kumnyanyasa kama mbwa ili ajutie kunikurupukia wakat alinidhalilisha..

Then baada ya hapo utafaidika na lipi,simple u still love the chick that's why it still hurts,,,mweeee
A6
 
watu tuliwataja mpaka kwny morning spichi!
Full kuwataja kanisani kwa mama mchungaji
Af bado bidae yaliisha tu!

yaani hiyo ni kawaida sana , zamani tuliposoma sisi boarding kwanza simu zilikuwa hamna ni kuandikiana barua na mwendo ulikuwa ni huo huo wa barua kusomwa na watu wote na tuliokuwa st. kanumba hatujui english ilikuwa full kuchoreka lakini mwisho wa siku wachumba tunawang'oa sawia.........
 
hakujua alichokua anafanya na hatima yake hakuijua,

wasichana wengi wazuri wabichi wanaliwa na vihuni vya kuweka vileso mifuko ya nyuma na wanaona wamefika wakifuatwa na watu wanaowapenda kwa dhati na wastaarabu wanaona ni kupotezeana muda mpaka watakapoingia mkenge.

Achana nae ameshaadhibiwa tayari
 
Blue G wewe ni nomeri asee! Kudos nyingi!:wave:

utakuwa umejibebesha hatia ya damu bure damu ya mtoto wako itakullia siku zote labda kama hupendi watoto,after all hicho kisai sio haki kama unataka na wewe si umuwekee laudi spika sasa hivi ukiwa na washkaji wako akiwa anajikanyaga na yeye achekwe kama wewe?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom