Mkuu endelea kumshauri babu madudu na utegemee pengine atakukubalia.
Akikubali imekula kwake anyway.
Swali la kujiuliza kwako, kama una akili ya kuchambua maswala, ni kwamba, kama CHADEMA wamekuwa popular na chopa kutengeneza inroads kwa uanachama watu waliokuwa CCM, Walioandikisha hiyo 2009 wako wapi?
Msijipe sababu ambazo na nyie wenyewe mnajua hazina mashiko.
Chances are hata daftari likiboreshwa kesho, wananchi wengi zaidi watachagua CCM, maana zaidi ya kulalama na polisi na maandamano, CDM haina mchango wowote kimawazo jinsi ya kuliendeleza ztaifa hili.
Msifikiri wTanzania ni wajinga, they know where their hearts lie.
Na kama ni wewe ulimshauri juu ya kukodi chopa tatu, matokeo yake mmeshayaona.
sela za cdm ndo mbovu watu wamestuka. Sela za ubaguz na umimi haziwezi kunusuru chama. Wajipange kisela tu
. Mbn kama kilugha chako. Sela/ kisela au ulimaanisha sera/ kiserasela za cdm ndo mbovu watu wamestuka. Sela za ubaguz na umimi haziwezi kunusuru chama. Wajipange kisela tu
Kwa nini hao 30%-40% wanaojitokeza wasichague CDM waichague CCM? Kikulacho ki nguoni mwako!!!!!!!!!!!!!!!
Ochutz,
Kwa bahati mbaya huna ujasiri wa kuandika jina lako la kweli, hivyo siwezi kujua Kama kweli ulinipa ushauri au umetunga tu. Ebu jiulize katika akili ya kawaida, Mimi na wewe ( au Chadema) nani angelimshauri mwenzake, wake moja Kati ya lengo la OPeration Pamoja Daima ni kuishinikiza Serikali kuboresha Daftari Hilo. Hayo yamesemwa na Mbowe, Lisu na Slaa! Kati yako wewe na Slaa ni nani Hana uelewa au nani ampe ushauri mwenzake. Ni vema tusifanye ushabiki katika mambo mazito.
Kama kweli ukielewa na una nia njema, badala ya kutuma ujumbe kwa Slaa, ungeandika kwenye Gazeti ili uishinikize Serikali kwa kuwa kazi ya kuboresha daftari ni ya Serikali na NEC yake. Aidha ungelikuwa na ujasiri wa kupostiwa kwa ID yako ningelijua Kama tuliongea la, kwa sasa hoja yako haina maana yeyote,
Huko kote mbali ungemshauri kwanza abadilishe M4C movement for Change na kutafuta neno la Kiswahili linaloeleweka na hapo ndio utakuwa mwanzo wa kuona kweli hawa wanawajali wananchi wa kawaida na sio wazungu! kama CCM, Nguvu Mpya Ari Mpya, Maisha Bora kwa kila Mtanzani n.k
sasa kama watu now hawajitokezi kupiga kura daftari likiboreshwa ndio watajitokeza kupiga kura !?Nilipokutana na katibu mkuu wa CHADEMA Dk Wilbrod Slaa baada ya kushindwa vibaya na CCM kwenye uchaguzi ulioisha siku za karibuni nilizungumza nae mambo makuu mawili (wanajamvi mtaongezea mengine) ambayo pengine yamechangia ya huenda yakapelekea kutoa matokeo yaleyale kama hayatafanyiwa kazi.
i)Nilimkumbusha aangalie tofauti kubwa inayojitokeza baina ya wananchi wanaojitokeza kupiga kura na wale waliojiandikisha tofauti ni kubwa sana. Ni wastani wa 30%-40% ndio wanaojitokeza kupiga kura .Hata kwenye hizi chaguzi ndogo zilizopita hali ni hiyo hiyo. Nikamkumbusha hata 2010 Rais wa nchi alichaguliwa na watu wasiozidi mil 5 kati ya takribani watu mil 20 waliojiandikisha. Sasa ukitoa wale waliopoteza au KUUZA shahada zao kwa hiari baada ya kurubuniwa na wanasiasa(hasa CCM),pia ukiondoa wale wanaoshindwa kufika kwenye vituo vya kupiga kura kwa hofu ya vurugu zinazozuka muda mfupi kabla ya uchaguzi,sababu inayotolewa na wengi ambao hawajitokezi kupiga kura ni kutokuwa na imani na wagombea husika.
Hivyo inawezekana kabisa CCM ikawa inashinda hizi chaguzi kwa sababu tu watu wengi hawajitokezi kupiga kura na si kuwa wanakubalika kama wanavosema wenyewe. Nilimshauri waongeze bidii kwenye mpango mkakati yao,ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya kutosha na ya dhati ili wananchi wajitokeze kupiga kura kwenye chaguzi zijazo.Yanaweza yakapatikana matokeo tofauti na ilivyo sasa. Pia nilimtahadharisha kuwa wasitegemee CCM kulifanya hilo la kutoa elimu. Katibu mkuu wa CCM Mh A.Kinana aliwahi kutoa kauli kwamba anaridhika na mahudhurio katika chaguzi.Kwa CCM hata akitokea mpiga kura mmoja kati ya mia,ilimradi hiyo kura moja ni ya kwao hawana tatizo kabisa. Wanachotaka ni ushindi tu.
ii)Pia nilikubaliana nae kwamba kutoboreshwa daftari la wapiga kura kunachangia CCM kupata ushindi mkubwa ikiwa ni pamoja na chaguzi zilizoisha punde. Nimemtahadharisha kama wataenda kushiriki kwenye chaguzi za CHALINZE na KALINGA bila ya daftari la wapiga kura kuboreshwa watarajie KIPIGO KITAKATIFU kutoka CCM na pia nikamchekesha baada ya kumwambia aandae kabisa sababu za kuwadanganya wana CHADEMA kutokana na kushindwa kwao kwenye hizo chaguzi.
Inafahamika mara ya mwisho daftari la wapiga kura liliboreshwa mwaka 2009 kuelekea uchaguzi 2010. Ni zaidi ya miaka MITANO sasa.Kuna idadi kubwa ya vijana kati ya miaka 18-28 hawamo kwenye daftari la wapiga kura ,achilia mbali waliopoteza shahada zao(inakadiriwa zaidi ya watu mil 5 hawamo).Ni idadi hii ya watu mil 5 ndio ilimuweka Rais madarakani.
Na nikamkumbusha ni hao hao vijana wengi walio kwenye hiyo rika nililotaja hapo juu ndio mtaji mkubwa wa CHADEMA na ndio hao hao CCM kwa makusudi wanawanyima haki yao ya msingi ya kupiga kura. Fahamuni suala la kucheleweshwa kuboresha daftari la wapiga kura halifanywi kwa bahati mbaya.Na hakika msipoangalia mtaendelea kujaza maelfu ya wananchi katika mikutano yenu ambao ndio hao hao walio kwenye hilo rika nililotaja hapo juu ambao hawamo kwenye daftari la wapiga kura. Ni juzi tu katibu mkuu wa CCM Ndugu A.Kinana alitoa kauli kwamba anaridhika na idadi ya wanaojitokeza kupiga kura na haoni sababu ya kuboreshwa daftari la wapiga kura.
Sina hakika sana kama Mh amenielewa ila ujumbe umfikie .!
Dr Slaa, kwanza niseme hoja ya Ochutz ina maana sana kwa wakati huu. Kama mliongea au la hilo soi hoja, hoja iliyopo ni mantiki ya hoja yake.Ochutz,
Kwa bahati mbaya huna ujasiri wa kuandika jina lako la kweli, hivyo siwezi kujua Kama kweli ulinipa ushauri au umetunga tu. Ebu jiulize katika akili ya kawaida, Mimi na wewe ( au Chadema) nani angelimshauri mwenzake, wake moja Kati ya lengo la OPeration Pamoja Daima ni kuishinikiza Serikali kuboresha Daftari Hilo. Hayo yamesemwa na Mbowe, Lisu na Slaa! Kati yako wewe na Slaa ni nani Hana uelewa au nani ampe ushauri mwenzake. Ni vema tusifanye ushabiki katika mambo mazito.
Kama kweli ukielewa na una nia njema, badala ya kutuma ujumbe kwa Slaa, ungeandika kwenye Gazeti ili uishinikize Serikali kwa kuwa kazi ya kuboresha daftari ni ya Serikali na NEC yake. Aidha ungelikuwa na ujasiri wa kupostiwa kwa ID yako ningelijua Kama tuliongea la, kwa sasa hoja yako haina maana yeyote,
vuguvuvu la mabadiliko ndo kiswahili chake mdau.
sela za cdm ndo mbovu watu wamestuka. Sela za ubaguz na umimi haziwezi kunusuru chama. Wajipange kisela tu
Therefore they are fighting the wrong battle!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Kwa sababu CHADEMA imepata nguvu sana baada ya uchaguzi 2010,wengi wa wanao support CDM nu vijana walio kwenye hilo rika lililotajwa kama nimemuelewa vizuri mtoa mada.
Ujumbe umefika ama ujumbe umekufikia?Hueleweki.Ni vyema Mheshimiwa umetoa kauli,Natumai ujumbe umefika...
sela za cdm ndo mbovu watu wamestuka. Sela za ubaguz na umimi haziwezi kunusuru chama. Wajipange kisela tu
Ujumbe umefika ama ujumbe umekufikia?Hueleweki.
Nilipokutana na katibu mkuu wa CHADEMA Dk Wilbrod Slaa baada ya kushindwa vibaya na CCM kwenye uchaguzi ulioisha siku za karibuni nilizungumza nae mambo makuu mawili (wanajamvi mtaongezea mengine) ambayo pengine yamechangia ya huenda yakapelekea kutoa matokeo yaleyale kama hayatafanyiwa kazi.
i)Nilimkumbusha aangalie tofauti kubwa inayojitokeza baina ya wananchi wanaojitokeza kupiga kura na wale waliojiandikisha tofauti ni kubwa sana. Ni wastani wa 30%-40% ndio wanaojitokeza kupiga kura .Hata kwenye hizi chaguzi ndogo zilizopita hali ni hiyo hiyo. Nikamkumbusha hata 2010 Rais wa nchi alichaguliwa na watu wasiozidi mil 5 kati ya takribani watu mil 20 waliojiandikisha. Sasa ukitoa wale waliopoteza au KUUZA shahada zao kwa hiari baada ya kurubuniwa na wanasiasa(hasa CCM),pia ukiondoa wale wanaoshindwa kufika kwenye vituo vya kupiga kura kwa hofu ya vurugu zinazozuka muda mfupi kabla ya uchaguzi,sababu inayotolewa na wengi ambao hawajitokezi kupiga kura ni kutokuwa na imani na wagombea husika.
Hivyo inawezekana kabisa CCM ikawa inashinda hizi chaguzi kwa sababu tu watu wengi hawajitokezi kupiga kura na si kuwa wanakubalika kama wanavosema wenyewe. Nilimshauri waongeze bidii kwenye mpango mkakati yao,ikiwa ni pamoja na kutoa elimu ya kutosha na ya dhati ili wananchi wajitokeze kupiga kura kwenye chaguzi zijazo.Yanaweza yakapatikana matokeo tofauti na ilivyo sasa. Pia nilimtahadharisha kuwa wasitegemee CCM kulifanya hilo la kutoa elimu. Katibu mkuu wa CCM Mh A.Kinana aliwahi kutoa kauli kwamba anaridhika na mahudhurio katika chaguzi.Kwa CCM hata akitokea mpiga kura mmoja kati ya mia,ilimradi hiyo kura moja ni ya kwao hawana tatizo kabisa. Wanachotaka ni ushindi tu.
ii)Pia nilikubaliana nae kwamba kutoboreshwa daftari la wapiga kura kunachangia CCM kupata ushindi mkubwa ikiwa ni pamoja na chaguzi zilizoisha punde. Nimemtahadharisha kama wataenda kushiriki kwenye chaguzi za CHALINZE na KALINGA bila ya daftari la wapiga kura kuboreshwa watarajie KIPIGO KITAKATIFU kutoka CCM na pia nikamchekesha baada ya kumwambia aandae kabisa sababu za kuwadanganya wana CHADEMA kutokana na kushindwa kwao kwenye hizo chaguzi.
Inafahamika mara ya mwisho daftari la wapiga kura liliboreshwa mwaka 2009 kuelekea uchaguzi 2010. Ni zaidi ya miaka MITANO sasa.Kuna idadi kubwa ya vijana kati ya miaka 18-28 hawamo kwenye daftari la wapiga kura ,achilia mbali waliopoteza shahada zao(inakadiriwa zaidi ya watu mil 5 hawamo).Ni idadi hii ya watu mil 5 ndio ilimuweka Rais madarakani.
Na nikamkumbusha ni hao hao vijana wengi walio kwenye hiyo rika nililotaja hapo juu ndio mtaji mkubwa wa CHADEMA na ndio hao hao CCM kwa makusudi wanawanyima haki yao ya msingi ya kupiga kura. Fahamuni suala la kucheleweshwa kuboresha daftari la wapiga kura halifanywi kwa bahati mbaya.Na hakika msipoangalia mtaendelea kujaza maelfu ya wananchi katika mikutano yenu ambao ndio hao hao walio kwenye hilo rika nililotaja hapo juu ambao hawamo kwenye daftari la wapiga kura. Ni juzi tu katibu mkuu wa CCM Ndugu A.Kinana alitoa kauli kwamba anaridhika na idadi ya wanaojitokeza kupiga kura na haoni sababu ya kuboreshwa daftari la wapiga kura.
Sina hakika sana kama Mh amenielewa ila ujumbe umfikie .!
Umeanza lini kuandika mitandaoni?Kujieleza kidogo tu kunakupa kazi.Ungemwambia "ujumbe umemfikia",unaposema ujumbe umefika ni kama una acknowledge kwa upande wako...kwamba ujumbe umekufikia.Wewe usichoelewa nini? Ujumbe umemfikia ndio maana ametoa kauli...