Empty maisha
Senior Member
- Oct 10, 2020
- 123
- 185
Wa Sasa kila siku anavunja Sheria.Ukiwalinganisha wanaotaka urais, baadhi wanaopata kushabikiwa hadi unaona huruma. Hivi kweli akili ya Lissu inaweza kuongoza nchi na ukaamini nchi itaendelea! Tutajikuta kila siku rais akitunga sheria.