HONG KONG, ni sehemu ya China inayojitegemea na kujiendesha yenyewe. Ina bunge lake, mahakama na serikali yake. Mahakama za Hong Kong zinafanya kazi kwa uwazi mkubwa sana na hakuna rushwa iliyoripotiwa kwa zaidi ya miaka 30.
Hong Kong ina sarafu yake (dola ya Hong Kong). Lugha kuu ni Kichina na Kiingereza. Uchumi wa eneo hili ni imara na wenye kusimama imara daima.
Miundo mbinu yake hakika haina mfano wa kuigwa: barabara, reli (za kasi na za kawaida ziitwazo TRAM), bandari na kadhalika.
Elimu yake imejiweka kisawasawa na huduma za kijamii ni bora na za kuigwa.
Sheria mama ya Hong Kong inaitwa the Basic Law. Sheria zingine hutungwa na bunge lao. Sheria za China kuu hazitumiki Hong Kong.
Hong Kong inafanan kabisa na Zanzibar na Tanganyika. Ni wakati muafaka kwa Tanzania kuangalia jinsi China na Hong Kong zinaishi na kuhusiana ili kuepuka muungano usio na tija na wa kulindwa na bunduki kama huu.
Hong Kong ina sarafu yake (dola ya Hong Kong). Lugha kuu ni Kichina na Kiingereza. Uchumi wa eneo hili ni imara na wenye kusimama imara daima.
Miundo mbinu yake hakika haina mfano wa kuigwa: barabara, reli (za kasi na za kawaida ziitwazo TRAM), bandari na kadhalika.
Elimu yake imejiweka kisawasawa na huduma za kijamii ni bora na za kuigwa.
Sheria mama ya Hong Kong inaitwa the Basic Law. Sheria zingine hutungwa na bunge lao. Sheria za China kuu hazitumiki Hong Kong.
Hong Kong inafanan kabisa na Zanzibar na Tanganyika. Ni wakati muafaka kwa Tanzania kuangalia jinsi China na Hong Kong zinaishi na kuhusiana ili kuepuka muungano usio na tija na wa kulindwa na bunduki kama huu.