tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,478
poaNifate pm nikutajie
poaNifate pm nikutajie
aikopy ili iweje ? halafu mbona unamtisha ? yaani umwambie ukweli binadam mwenzako upate laana , ahaa wapiHadith yako umekop sehem but inafundsha tambua Kuna siri nyingi tu za hao MANABII lakin raia wanaogopa kuzisema wasije pata laana kwa kua ni watumishi wa MUNGU.
Wewe ni mnafiki huna lolote na wala sio mkristo maana ukristo ni kusema ukweli maada umeleta jf tuchangi harafu unataka uniambie kwa kificho maana wote tunataka tumuogope huyo nabii njaaNifate pm nikutajie
SAMAHAN BROTHER KAMA NIMEKUKERAMidude mingine bwana, ushukuru sijui umri wako au jinsia yako ningekutusi. Kwaniñi usipite kimya kimya kabla ya kukurupuka kukomenti. Jinga sana, lete hiyo hadithi hapa jukwaani kila mtu aisome na aifananishe na hii na sio kuropoka.
Mnafiki ni wewe, tena yawezekana wew ni miongoni mnaotapeli watu. Kwani wewe unataka jina la nini? . Wewe umesoma pita sio lazima ukomentiWewe ni mnafiki huna lolote na wala sio mkristo maana ukristo ni kusema ukweli maada umeleta jf tuchangi harafu unataka uniambie kwa kificho maana wote tunataka tumuogope huyo nabii njaa
mpeleke asomeshwe,ukimbania,vijana mtaani watatafuna bure buredaah tupe bas makisio kanisa lake liko maeneo gan tujue bas tusije tukapeleka na wadogo zetu bure
Simanyane, mtoa uzi ameshakwambia huyo nabii anatangaza Channel Ten. Hiyo wazungu wanasema ni 'clue' au 'hint' sasa kazi kwako kumtafuta huyo Nabii marufu sana hapa Dar Es Salaam anayetangaza kupitia hiyo Channel Ten.Ungetutajia jina la huyo nabii na jina la mdogo wako aliyepewa mimba la sivyo unania ya kuchafua ukristo kumbe wala wewe sio mkristo
Nifate pm
Mnafiki ni wewe, tena yawezekana wew ni miongoni mnaotapeli watu. Kwani wewe unataka jina la nini? lijinga kweli, Sijui ni litoto hili au linabii tapeli, Sijui lichawi, Sijui lijambazi hata silielewi. Wewe umesoma pita sio lazima ukomenti kubwa jinga.
Of course , but most of stories here cant also be verifiedProblem is we can not verify your story...
Mkuu kuna watu wajinga, nimetoa maelezo yakutosha, nimesema nabii anajitangaza kupitia chanel ten, kikubwa naye afanye uchunguzi wake amjue. Sio nitoa kila kitu hapa.Kaka wanaume hatupo hivyo ata Kama kejeli ni nyingi kwenye Uzi wako hupaswi kutukana hivyo Kama wa kike, mwanaume ni moyo na ujasili,
Kwa kukurupuka huko ndo maana ata bi mkubwa wako alikua akupuhuza mawazo yako.
I agreeDon't trust no one...don't even trust yourself......