Ww Leo tena unasema matani wakati kule ulikua motrooooooooMatani yameanza
NENDA NYT CLUB MKUU..CHUKUA MZIGOO PIMA MWEKE CHINI UTANIAMBIA ATAKAVYOTULIA...Embu nambie vizur Apo umeunganisha maneno
Ni ww huyo huyo ety ukasema Mim nakupenda kweli, ukatuma emojis za kulia Mim nikaweka ngum👺👺👺👺👺Hamna cjawai kukucheki kweli umenifananisha
Usiwe na miaka 35.Mahari yangu sio nyingi , ng'ombe wawili dume na jike, utachukua dume
Jike la maziwa la kwangu
🙄Mbona ninayo 40 sasa?Usiwe na miaka 35.
Gawanya kwa mbili plus 6. Ndio upo hapo🙄Mbona ninayo 40 sasa?
Amen Amen kila la kheri apate mchumba amtakaye
Nenda kanisani au sokoni.....Habari JF,
Mara nyingi humu ndani mtu akiandika kitu anaonekana hayuko serious, Juzi nimeweka Uzi apa nimesema kuwa nahitaji mchumba lkn watu wakatania tania tuu sikupata hata mumoja,
Kuna mumoja nikajaribu kumfata Pm nikamwomba tuwe marafiki tuu lkn hatujafika popote anadai kuwa yeye ni mshangazi kwangu kisa yeye ana miaka 35 mm Nina miaka 29, au pengine ameona Kama mm ni mtoto Sina ishu. Lkn niwakumbushe mnao dharau watu wa umri mdogo Kama mm kuwa umri so akili nina akili kubwa tuu ya kimaisha.
Turudi pale pale kwenye point yetu ya juzi, natafuta mchumba wa kujenga nae maisha au kufanya maisha nae Niko serious,
Umri nimeongeza 25adi 35
Awe mrefu kiasi,
Asiwe mnene
Awe mweupe au mweusi maji yakunde sawa tuu