Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
teh teh. Utangolewa kucha hata kabla hujajipanga kwenda msituni
Pumbavu sana!!! Acha kuropoka km umelogwa na ujinga wa CCM. Angalia kiwango Cha 'remittances' ambazo TZ Diaspora inaleta nyumbani kila mwaka, idadi ya ndugu na jamaa wanaosaidiwa na diaspora, assets zinazowekezwa nyumbani nk...Sahau Uraia wa nchi uliyo isaliti na kuikana. Eti sasa ndo unajiita mzalendo. Mnafiki na Mzandiki kabisa wewe. Tuna mambo mengi ya kufanya sio kuwafikiria wasaliti kama wewe.
Mazao ya wakulima yanauzwa kwa magendo na viongozi uchwara!! Wezi wakubwa wenye akaunti nje ya nchi!!!Tuwaamini vipi nyie mlioikana nchi yenu kisa mishahara midogo? je wakulima pia wakiukana utanzania kisa bei duni ya mazao yao kutakua na nchi? njooni tu kama watalii kutusalimia
Ndugu zanguni,
Leo nimeamka asubuhi na kuangalia kwa makini cheti changu cha kuhitimu ma funzo ya upolisi nilichokipata mwaka 1991 kule CCP moshi.
Katka mafunzo yote, mimi pia nilipitia field craft (mafunzo ya kivita) ambapo nilipewa ujuzi wa kuweza kupambana nikiwa mstari wa mbele hata pale risasi zikiniishia nilifundishwa namna ya kupambana nikiwa na singe tu. Pia nilijifunza kutumia silaha zote zilizokuwepo wakati huo kwenye majeshi ya Tanzania, kuanzia SAR, UZI, SMG(AK47), LMG, RPG, mpaka mizinga mikubwa kama recoiless na ile ivutwayo na magari.
Baada ya kumaliza mafunzo tulikula kiapo cha utii na uaminifu kwa wanajeshi wa Tanzania. Ambapo katika hicho kiapo tunaapa kuwa watiifu kwa amiri jeshi mkuu na kuilinda nchi yetu wakati wote na mahala popote wakati wote wa uhai wetu. Kwa kula kiapo hicho ina maana hata kama nimeacha kazi au nimestaafu, ikitokea dharura nitaitwa mara moja kazini...
Hii ni kuwajulisha tu kuwa kama Malawi au Rwanda wakileta za kuleta basi mimi nitakuwa mmoja kati ya wanajeshi wengi tu ambao wako reserve tutakaokwenda kuripoti mara moja kwenye kambi yoyote ya jeshi la wananchi iliyokaribu nami na kukabidhiwa Bunduki yangu, kombati, kibuyu cha maji na begi lililojaa basic needs za mwanajeshi akiwa front line.
Sasa leo unasikia watu wanatukejeli sisi Diaspora kuwa hatuna sababu ya kupewa haki ya uraia wakati wao hata hawajawahi kulifanyia lolote tafa lao zaidi ya kulihujumu kila kukicha.
Ningependa kuwauliza wale wote wanaotubeza na kutulaumu kwa nini tulichukua uraia mwingine, Mimi wakati niko bongo baada ya kuacha kazi jeshi la polisi ambalo lilikuwa linalipa mshahara duni miaka hiyo mlitaka nifanye kazi gani? Nilijaribu kutafuta kazi kila sehemu nikawa sipati kwa sababu sikuwa na ujuzi mwingine zaidi ya ujuzi wa kutumia silaha kali. Na kazi ambayo ningeweza kupata ilikuwa ni ulinzi tu kazi ambayo hata siku moja nisingeweza kuifanya, huwezi kutoka polisi ukaenda kuwa korokoroni hiyo ni kujidhalilisha.
KWA HIYO MLITAKA UJUZI WA KUBEBA BUNDUKI NIUTUMIE KWENYE UJAMBAZI AU?
Ni wakati sasa mtusikilize..
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=-KQ4zoyitWo#t=0
Ndugu zanguni,
Leo nimeamka asubuhi na kuangalia kwa makini cheti changu cha kuhitimu mafunzo ya upolisi nilichokipata mwaka 1991 kule CCP moshi.
Katka mafunzo yote, mimi pia nilipitia field craft (mafunzo ya kivita) ambapo nilipewa ujuzi wa kuweza kupambana nikiwa mstari wa mbele hata pale risasi zikiniishia nilifundishwa namna ya kupambana nikiwa na singe tu. Pia nilijifunza kutumia silaha zote zilizokuwepo wakati huo kwenye majeshi ya Tanzania, kuanzia SAR, UZI, SMG(AK47), LMG, RPG, mpaka mizinga mikubwa kama recoiless na ile ivutwayo na magari.
Baada ya kumaliza mafunzo tulikula kiapo cha utii na uaminifu kwa wanajeshi wa Tanzania. Ambapo katika hicho kiapo tunaapa kuwa watiifu kwa amiri jeshi mkuu na kuilinda nchi yetu wakati wote na mahala popote wakati wote wa uhai wetu. Kwa kula kiapo hicho ina maana hata kama nimeacha kazi au nimestaafu, ikitokea dharura nitaitwa mara moja kazini...
Hii ni kuwajulisha tu kuwa kama Malawi au Rwanda wakileta za kuleta basi mimi nitakuwa mmoja kati ya wanajeshi wengi tu ambao wako reserve tutakaokwenda kuripoti mara moja kwenye kambi yoyote ya jeshi la wananchi iliyokaribu nami na kukabidhiwa Bunduki yangu, kombati, kibuyu cha maji na begi lililojaa basic needs za mwanajeshi akiwa front line.
Sasa leo unasikia watu wanatukejeli sisi Diaspora kuwa hatuna sababu ya kupewa haki ya uraia wakati wao hata hawajawahi kulifanyia lolote tafa lao zaidi ya kulihujumu kila kukicha.
Ningependa kuwauliza wale wote wanaotubeza na kutulaumu kwa nini tulichukua uraia mwingine, Mimi wakati niko bongo baada ya kuacha kazi jeshi la polisi ambalo lilikuwa linalipa mshahara duni miaka hiyo mlitaka nifanye kazi gani? Nilijaribu kutafuta kazi kila sehemu nikawa sipati kwa sababu sikuwa na ujuzi mwingine zaidi ya ujuzi wa kutumia silaha kali. Na kazi ambayo ningeweza kupata ilikuwa ni ulinzi tu kazi ambayo hata siku moja nisingeweza kuifanya, huwezi kutoka polisi ukaenda kuwa korokoroni hiyo ni kujidhalilisha.
KWA HIYO MLITAKA UJUZI WA KUBEBA BUNDUKI NIUTUMIE KWENYE UJAMBAZI AU?
Ni wakati sasa mtusikilize..
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=-KQ4zoyitWo#t=0
Ndugu zanguni,
Leo nimeamka asubuhi na kuangalia kwa makini cheti changu cha kuhitimu mafunzo ya upolisi nilichokipata mwaka 1991 kule CCP moshi.
Katka mafunzo yote, mimi pia nilipitia field craft (mafunzo ya kivita) ambapo nilipewa ujuzi wa kuweza kupambana nikiwa mstari wa mbele hata pale risasi zikiniishia nilifundishwa namna ya kupambana nikiwa na singe tu. Pia nilijifunza kutumia silaha zote zilizokuwepo wakati huo kwenye majeshi ya Tanzania, kuanzia SAR, UZI, SMG(AK47), LMG, RPG, mpaka mizinga mikubwa kama recoiless na ile ivutwayo na magari.
Baada ya kumaliza mafunzo tulikula kiapo cha utii na uaminifu kwa wanajeshi wa Tanzania. Ambapo katika hicho kiapo tunaapa kuwa watiifu kwa amiri jeshi mkuu na kuilinda nchi yetu wakati wote na mahala popote wakati wote wa uhai wetu. Kwa kula kiapo hicho ina maana hata kama nimeacha kazi au nimestaafu, ikitokea dharura nitaitwa mara moja kazini...
Hii ni kuwajulisha tu kuwa kama Malawi au Rwanda wakileta za kuleta basi mimi nitakuwa mmoja kati ya wanajeshi wengi tu ambao wako reserve tutakaokwenda kuripoti mara moja kwenye kambi yoyote ya jeshi la wananchi iliyokaribu nami na kukabidhiwa Bunduki yangu, kombati, kibuyu cha maji na begi lililojaa basic needs za mwanajeshi akiwa front line.
Sasa leo unasikia watu wanatukejeli sisi Diaspora kuwa hatuna sababu ya kupewa haki ya uraia wakati wao hata hawajawahi kulifanyia lolote tafa lao zaidi ya kulihujumu kila kukicha.
Ningependa kuwauliza wale wote wanaotubeza na kutulaumu kwa nini tulichukua uraia mwingine, Mimi wakati niko bongo baada ya kuacha kazi jeshi la polisi ambalo lilikuwa linalipa mshahara duni miaka hiyo mlitaka nifanye kazi gani? Nilijaribu kutafuta kazi kila sehemu nikawa sipati kwa sababu sikuwa na ujuzi mwingine zaidi ya ujuzi wa kutumia silaha kali. Na kazi ambayo ningeweza kupata ilikuwa ni ulinzi tu kazi ambayo hata siku moja nisingeweza kuifanya, huwezi kutoka polisi ukaenda kuwa korokoroni hiyo ni kujidhalilisha.
KWA HIYO MLITAKA UJUZI WA KUBEBA BUNDUKI NIUTUMIE KWENYE UJAMBAZI AU?
Ni wakati sasa mtusikilize..
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=-KQ4zoyitWo#t=0
Pumbaffff
Taratibu mzee ,huko nikukosa nidhamu ,mara hii hata hatujaanza kukutathimini unaanza kuporomosha matusi kwa hoja ya kwaida kama hii hapo chini tukuelewe vipi?
Au uzee umekunyemelea?
Mazao ya wakulima yanauzwa kwa magendo na viongozi uchwara!! Wezi wakubwa wenye akaunti nje ya nchi!!!
lete ushahidi, porojo si nzuri,...huyu jamaa lukosi hakumaliza form 4,sababu alifeli mtihani wa form 2,ila alikuwa na ndugu polisi kwahiyo wakaamua kumuingiza huko
Haujui ulisemalo,
Hata wanamgambo tu wanapewa mafunzo ya kivita, sembuse polisi?
Ulitaka nibaki polisi niwe fukara?
Nilikuwa nalipwa shs 7,250 wakati matumizi yangu yalikuwa shs 35,000, sasa hapo sijui mkate na siagi ungepatikana vipi?
Wengi wenu mashoga kaeni huko huko. Muolewe.
Mkuu mbona wengi mnapenda kunitukana kwa tusi hili kuwa dada yangu kaniletab UK?
Kama ni dada yangu kanileta huku huyo ni dada yangu baba mmoja na mma mmoja sasa NYIE KINAWAUMA NINI?
Mlitaka awalete nyie?
Huyo mnaemsema ni dada yangu mama mmoja baba mmoja na ndie alieniuleta UK
Ok turudi kwenye mada.
Mimi na nyie kenge nani zaidi?
Njaa zenu zisiwafanye mcukie watu ambao hata sio chanzo cha njaa yenu
Kama kinawauma nitawanunulia wote kamba mjinyonge kenge nyie..
Kkma mnataka niwalete leteni data zenu ofisini niwafikirie kenge nyie...