Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 2,514
- 3,203
Kwa sasa hivi ni ujana maji ya moto! Majukumu yakikuzidi utaacha mwenyewe.
Na siku ukija ponea chupu chupu kupata ngoma ndo akili itakaa sawa mademu wengi sana wameumia hata huwezi dhania. Kuna story nyingi sana humu za wadau kuponea chupu chupu.
Take care
NB; AFYA NJEMA NA UHAI NDO ZAWADI PEKEE MWENYEZI MUNGU KATUACHIA NDO INAYOTUPA FURAHA HATA KAMA HUNA KITU.
Na siku ukija ponea chupu chupu kupata ngoma ndo akili itakaa sawa mademu wengi sana wameumia hata huwezi dhania. Kuna story nyingi sana humu za wadau kuponea chupu chupu.
Take care
NB; AFYA NJEMA NA UHAI NDO ZAWADI PEKEE MWENYEZI MUNGU KATUACHIA NDO INAYOTUPA FURAHA HATA KAMA HUNA KITU.