......sible nampa burn kwakua ameshindwa kuwapa watu fulani burn
<br />Hi thanks sijui kwanini ilitolewa.
<br />Bila shaka unatembea na viberiti ama a small bunsen burner wa ajili ya <b>burning</b>! You can only be <b>banned</b> from crazy MODS
Hivi ukawa Mod leo mtu wa kwanza Kumpa Burn ni nani?
Mimi naanza na ....foxy
Burn? ma mod huwa hawatoi "burn" ndio maana huna huo u moderator kwa sababu hata hujui unachokiandika! Unanchekesha!
Au ulimaanisha ban? maana hiyo uliyoandika wewe tena kwa uhakika kabisa huwezi hata kuvunga kuwa ilikuwa ni spelling mistake. Pole mwana, kwanza ka-polish kiingereza chako halafu uuwaze huo u mod. Meanwhile, FF anadunda!
<br />Ningem BAN Afrodenzi, The Finest,Kaizer, Preta, Wiselady, Kimey, Asprin, Bigirita, GY, Bacha, Mj1, Zion Daugher, Pearl, Nyamayao, Susy, Bishanga, BE, Maty, Elia, Kokudo, Husininyo, Lizzy, Mamndenyi, Teamo, Paka Jimmy, Mzee wa Rula, goosh list ndefu sana nitarudi
mambo kisura wa jey Efu tumekumiss balaa,mzima lakini ? ukirudi sahau tena kuniweka kwenye listi hahaha!Ningem BAN Afrodenzi, The Finest,Kaizer, Preta, Wiselady, Kimey, Asprin, Bigirita, GY, Bacha, Mj1, Zion Daugher, Pearl, Nyamayao, Susy, Bishanga, BE, Maty, Elia, Kokudo, Husininyo, Lizzy, Mamndenyi, Teamo, Paka Jimmy, Mzee wa Rula, goosh list ndefu sana nitarudi
Ningem BAN Afrodenzi, The Finest,Kaizer, Preta, Wiselady, Kimey, Asprin, Bigirita, GY, Bacha, Mj1, Zion Daugher, Pearl, Nyamayao, Susy, Bishanga, BE, Maty, Elia, Kokudo, Husininyo, Lizzy, Mamndenyi, Teamo, Paka Jimmy, Mzee wa Rula, goosh list ndefu sana nitarudi
Macho mazuri mambo gani ya kutuweka Double View halafu usitokee weekend hii wajameni ? mi nilikuwa na hamu kuona macho yako tu lol!tnks....
co-worker pole nimesikia hela hazijakufikia bado na Kloro anadai eti yuko bize ataonekana JF kuanzia Oktoba pole sana.Dena katika hio list naomba mmoja tu atoke.... Dah!
<br />Macho mazuri mambo gani ya kutuweka Double View halafu usitokee weekend hii wajameni ? mi nilikuwa na hamu kuona macho yako tu lol!
co-worker pole nimesikia hela hazijakufikia bado na Kloro anadai eti yuko bize ataonekana JF kuanzia Oktoba pole sana.
<br />Hivi ukawa Mod leo mtu wa kwanza Kumpa Burn ni nani?<br />
<br />
Mimi naanza na ....foxy