Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,891
Natoyo au boda bodaOoh uko nnje ya mada
Natoyo au boda bodaOoh uko nnje ya mada
Hisia zako tu mbaya, mwanamke pia anaweza kufanya kazi za udereva na wengi wamekuwa maarufu na kufanikiwa maishaMmmh boda mwanamke mbna hatari sna kukaa nyuma ya mwanamke
Omba yasikukute.... angalau huyo anapata rizki kihalaliImagine mtu Ana age ya 60, 50 alfu anaendesha boda unaweza kuingiwa na maswal mengi sna kwamba nin kimetokeaa Hadi Muda huu anakimbizana na vijana wa miaka 20 ,23 na unamkuta anajisifia kbsaa kuwa mimi nina miaka 8 kwenye kazi hii.
Unakuta kijana ana 40+ kbsa Hadi unaogopa kumtuma unajiuliza hivi hawana mashamba au wameuza
Alfu unakuta wengine wanauza mashamba Yao na kugawna pesa na wengi kwenda kununua boda bila kujuwa kuwa boda Ina risk kubwa.
Mungu wajalie bodaboda wote kazi hiyo ni hatari sana.
Leo nimeogopa walai mtu mzima mm nilimuagiza kwenda sehemu fln
Vijana tuweke sna akiba siyo poaa kbsaaa nilipanga nipige bia nne ila nimekunywa moja tu naondokaa zangu Walai
Imagine mtu Ana age ya 60, 50 alfu anaendesha boda unaweza kuingiwa na maswal mengi sna kwamba nin kimetokeaa Hadi Muda huu anakimbizana na vijana wa miaka 20 ,23 na unamkuta anajisifia kbsaa kuwa mimi nina miaka 8 kwenye kazi hii.
Unakuta kijana ana 40+ kbsa Hadi unaogopa kumtuma unajiuliza hivi hawana mashamba au wameuza
Alfu unakuta wengine wanauza mashamba Yao na kugawna pesa na wengi kwenda kununua boda bila kujuwa kuwa boda Ina risk kubwa.
Mungu wajalie bodaboda wote kazi hiyo ni hatari sana.
Leo nimeogopa walai mtu mzima mm nilimuagiza kwenda sehemu fln
Vijana tuweke sna akiba siyo poaa kbsaaa nilipanga nipige bia nne ila nimekunywa moja tu naondokaa zangu Walai
Mbona hushangai mwalimu wa miaka 50 kuendelea na kazi?Imagine mtu Ana age ya 60, 50 alfu anaendesha boda unaweza kuingiwa na maswal mengi sna kwamba nin kimetokeaa Hadi Muda huu anakimbizana na vijana wa miaka 20 ,23 na unamkuta anajisifia kbsaa kuwa mimi nina miaka 8 kwenye kazi hii.
Unakuta kijana ana 40+ kbsa Hadi unaogopa kumtuma unajiuliza hivi hawana mashamba au wameuza
Alfu unakuta wengine wanauza mashamba Yao na kugawna pesa na wengi kwenda kununua boda bila kujuwa kuwa boda Ina risk kubwa.
Mungu wajalie bodaboda wote kazi hiyo ni hatari sana.
Leo nimeogopa walai mtu mzima mm nilimuagiza kwenda sehemu fln
Vijana tuweke sna akiba siyo poaa kbsaaa nilipanga nipige bia nne ila nimekunywa moja tu naondokaa zangu Walai
Acha ushoga kijanaNatoyo au boda boda
Hivi una akili Kweli mm naongelea bodaboda wewe unawaleta waalimu hapaMbona hushangai mwalimu wa miaka 50 kuendelea na kazi?
Hkn kitu Kama hcho yaani nitoke serekaliNi Kisha niingie bodaKaka unashangaa hilo kuna ndugu yangu mstaafu kabisa wa shirika moja la usafirishaji la serikali amestaafu toka 2020 sasa iv ni Bodaboda...
Ukikosea ujanani Mateso ni uzeeni
Sasa na wewe jitu Zima unakwenda kupanda boda unakaha nyuma ya mwanamke uana akiki Kweli alfu unaona sawa tu Basi utakuwa na shida kubwaHisia zako tu mbaya, mwanamke pia anaweza kufanya kazi za udereva na wengi wamekuwa maarufu na kufanikiwa maisha
Brazaa uko nnje ya mada mm nazungumziaa hbr za uzeee na boda boda sijasema kazi Ni mbaya Wala kuongelea vijana hap ninavhoongeleaa Ni wazeee. Kuendesh boda na kuona sifa kwa age ya 60Bodaboda ni kazi nzuri tu tatizo linaanzia pale wanaposhindwa kufua take sheria za barabarani na wengi wao hawana leseni ya kuendesha vyombo vya moto na wengi wao wana nyendo na sifa mbaya za umalaya, ulevi, uvutaji wa shisha na kutokuwa na elimu ya kutosha
Sahihi kbsaa mungu atusimamaie mnk ni hatari kudrive boda with aged ya 67Ni kweli ni suala linalofikirisha sana hususani ukifikiria labda na mimi na weza kuwa hivyo nikiwa.mzee au?
Cha msingi usimcheke.mtu tujitahidi kujibidiisha kumuomba Mungu pamoja na kuwekeza Kwa ajili ya baadae.
Acha maneno ya Kiarusha mzeeNatoyo au boda boda
Sahihi kbsaa mungu atusimamaie mnk ni hatari kudrive boda with aged ya 67
Mbona kuna madakyari wana miaka 50 au 60? , hawana mashamba?Imagine mtu Ana age ya 60, 50 alfu anaendesha boda unaweza kuingiwa na maswal mengi sna kwamba nin kimetokeaa Hadi Muda huu anakimbizana na vijana wa miaka 20 ,23 na unamkuta anajisifia kbsaa kuwa mimi nina miaka 8 kwenye kazi hii.
Unakuta kijana ana 40+ kbsa Hadi unaogopa kumtuma unajiuliza hivi hawana mashamba au wameuza
Alfu unakuta wengine wanauza mashamba Yao na kugawna pesa na wengi kwenda kununua boda bila kujuwa kuwa boda Ina risk kubwa.
Mungu wajalie bodaboda wote kazi hiyo ni hatari sana.
Leo nimeogopa walai mtu mzima mm nilimuagiza kwenda sehemu fln
Vijana tuweke sna akiba siyo poaa kbsaaa nilipanga nipige bia nne ila nimekunywa moja tu naondokaa zangu Walai
Kwani bodaboda Si kazi kama ualimu au wewe ndo huna akili?Hivi una akili Kweli mm naongelea bodaboda wewe unawaleta waalimu hapa
Kijana acha ujingaa
k4s ni kampuni ya kigeni kwani...?Bora kama unafanya ulinzi kwenye makampuni makubwa Kama k4s security ,kk,gso ,Garda ward hzo zinapesa nzuri na nnssf yako itasoma vizuri sana