Okya
Member
- Apr 18, 2012
- 34
- 7
Kwa takribani miaka 21 kuacha kuwa na mahusiana naye kwasababu maneno machafu na yanayochafua roho na kutojali kwake,nilidhani naweza msahau na tukawa marafiki but kiukweli namchukia baba yangu as long napomuona sijisikia sina raha kumuita baba wala kuwa nae karibu Roho inauma nimuonapo,Ameninyima kitu adimu ambacho siwezi pata kwa yeyote yule now nimekuwa mtu mzima. Namchukia huyu baba jina.