Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,042
- 1,822
Habari Wakuu, naombeni kuuliza nini tatizo nikikaa na kiu kwa muda mrefu mfano kama masaa 6 alafu nikinywa Maji natokwa na Jasho sana baada ya kumaliza kunywa Maji nikikaa kama sekunde 30 baada ya kunywa Maji, sasa tatizo ni nini?