1. Nitapiga Marufuku vikao na michango yote ya HARUSI. Na yeyote atakeye pledge sijui kubliji anapata miaka 3 jela.
1. Nitapiga Marufuku vikao na michango yote ya HARUSI. Na yeyote atakeye pledge sijui kubliji anapata miaka 3 jela.
[1. Nitapiga Marufuku vikao na michango yote ya HARUSI. Na yeyote atakeye pledge sijui kubliji anapata miaka 3 jela]
safi sana....hii kitu si nzuri...kwanza ndio inasababisha watu wanaochangia kumnyemelea mkeo
mmmmh we Nguli wewe
Usigune JS, calculate muda unaotumiwa kwenye kitchen part, send off na harusi kwenye mabaa. Bado fedha tunazochanga tena nyingi siuku hizi zina minimum balance ya kuchanga ambayo ni laki 1 unakuta mshahara wako ni 150,000 inakuwa kazi yako nikutoa 30 kila mwezi mwisho wa mwaka pay as u earn imekuwa overridden na michnago ya harusi na sasa tumeugeuza utamaduni. Research inaonyesha mkoa wa DSM pekee unaconsume TZS 5 billion kwa mwezi hivi tungechangia mambo mengine ya muhimi kama elimu na afya leo hii tungekuwa wapi?