Wandugu habari za leo nilikuwa nataka kujua kama nimeandikiwa notification kwa makosa ya barabarani na sijakubaliana nayo naenda wapi ili kuappeal. Maana naona kuna makosa mengine siku hizi unaandikiwa tu nilikuwa nataka kujua kisheria raia wakawaida kama mimi anaweza kufanya nini ndani ya sheria. Msaada wenu wataalamu ni muhimu
Hiyo notification ukiisoma ina sehemu mbili ambapo unatakiwa kusaini sehemu moja, kama unakubali makosa uliyoandikiwa unasaini mahali panapoonesha kukubali makosa na kama unakataa kuna sehemu ya kuonesha hivyo. Ukikataa maana yake ni kuwa polisi watakupeleka mahakamani ili wathibitishe makosa hayo (na hiyo nadhani itakuwa ndio hiyo rufaa kama unavyoiita)Wandugu habari za leo nilikuwa nataka kujua kama nimeandikiwa notification kwa makosa ya barabarani na sijakubaliana nayo naenda wapi ili kuappeal. Maana naona kuna makosa mengine siku hizi unaandikiwa tu nilikuwa nataka kujua kisheria raia wakawaida kama mimi anaweza kufanya nini ndani ya sheria. Msaada wenu wataalamu ni muhimu
Hiyo notification ukiisoma ina sehemu mbili ambapo unatakiwa kusaini sehemu moja, kama unakubali makosa uliyoandikiwa unasaini mahali panapoonesha kukubali makosa na kama unakataa kuna sehemu ya kuonesha hivyo. Ukikataa maana yake ni kuwa polisi watakupeleka mahakamani ili wathibitishe makosa hayo (na hiyo nadhani itakuwa ndio hiyo rufaa kama unavyoiita)
Hivyo sehemu pekee ya kupinga notification ni mahakamani. Saini ile sehemu ya kukataa makosa