The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 968
- 1,064
Habari wakuu
Nina mpenzi wangu tuna mahusiano zaidi ya mwaka lakini haipiti week mbili bila kugombana
Yaani lazima tuu tugombane na visirani sana tena sana , unaweza ukampigia simu hapokei au anakata unatumia message hajibu au akakujibu kwa kuchelewa. Sasa kuna kipindi juzi juzi hapa nikatumia message ya nikamuambia tuachane simhitaji akasema poa.
Akaaanza kutuma status maneno ya vijembe, akamueleza mshikaji wamgu mshakaji akaniomba niomuone kumbe yuko na demu wangu kufika pale mshikaji akanikalisha chini akadai shemeji kamuambia nimemuacha sasa nikamuambia amekuambia sababu z mm kumwacha akasema ndio.
Nikamwambia jamaa ni kweli memuacha simtaki
Demu aliangua kilio cha nguvu na kuanza kuniomba msamaha kalia saana nikaondoka nikamuambia nitamjibu.
Sasa wakuu kutokana na huyu mwanamke kuwa na visirani vya mara kwa mara nimekua na mahusiana wanawake tofauti tofauti.
Nimasemehe au niendelee na msimamo wangu?
Nina mpenzi wangu tuna mahusiano zaidi ya mwaka lakini haipiti week mbili bila kugombana
Yaani lazima tuu tugombane na visirani sana tena sana , unaweza ukampigia simu hapokei au anakata unatumia message hajibu au akakujibu kwa kuchelewa. Sasa kuna kipindi juzi juzi hapa nikatumia message ya nikamuambia tuachane simhitaji akasema poa.
Akaaanza kutuma status maneno ya vijembe, akamueleza mshikaji wamgu mshakaji akaniomba niomuone kumbe yuko na demu wangu kufika pale mshikaji akanikalisha chini akadai shemeji kamuambia nimemuacha sasa nikamuambia amekuambia sababu z mm kumwacha akasema ndio.
Nikamwambia jamaa ni kweli memuacha simtaki
Demu aliangua kilio cha nguvu na kuanza kuniomba msamaha kalia saana nikaondoka nikamuambia nitamjibu.
Sasa wakuu kutokana na huyu mwanamke kuwa na visirani vya mara kwa mara nimekua na mahusiana wanawake tofauti tofauti.
Nimasemehe au niendelee na msimamo wangu?