Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Ilikuwa mwaka 2008 kipindi hicho nilikuwa naendesha lory ya mizigo almaarufu kama FUSO.,
Basi sikuhyo tulikuwa tunatoka maeneo ya mufindi iringa kuchukua mbao tupeleke Dar...
Tukiwa njiani tunarudi, nyuma ya gari naloendesha kulikuwa na Randlover ya jeshi ikiomba nafasi wapate kupita, na walionekana wanaharaka kwavile walitufikia wakiwa na kasi ya ajabu, lakini kutokana na barabara kuwa mbaya ilikuwa inaruhusu kupishana gari mbili kwa shida kidogo.
Basi tukashauriana tusiwapishe hivo nikawa nachezesha gari kila upande watakao taka kupita, " piteni juu " walisema makuli waliokuwa kwenye lory yetu, bilakujua kuwa jamaa wamekasirika kiasi gani tukaendelea na safari kwa mtindo huo.
Mbele kama kilomita kumi gari yetu ikapata pancha tairi ya mbele na kutulazimu kusimama, bila hiyana wajeda nao wakasimama na kututaka tupande kwenye gariyao, ilikuwa majira ya saa 7 mchana, walitupeleka kambini nakutuweka juani mpaka saa9 alasiri, kisha wakatupatia soda cocacola kilammoja, tulipomaliza tukaletewa ndoo mbilimbili za maji na kuamriwa kwakutumia vizibo vya soda tuzokunywa tujaze maji zile ndoo ndio itakuwa pona yetu, duuh tulikesha mpaka keshoyake saa5usiku, nalijuta mbona, mpaka leo nikiona magari yawale jamaa huwa nawapisha hatakama wako mbali, sidhani kama ntarudia ile mchezo....
Nyc sunday to all jf members...
Basi sikuhyo tulikuwa tunatoka maeneo ya mufindi iringa kuchukua mbao tupeleke Dar...
Tukiwa njiani tunarudi, nyuma ya gari naloendesha kulikuwa na Randlover ya jeshi ikiomba nafasi wapate kupita, na walionekana wanaharaka kwavile walitufikia wakiwa na kasi ya ajabu, lakini kutokana na barabara kuwa mbaya ilikuwa inaruhusu kupishana gari mbili kwa shida kidogo.
Basi tukashauriana tusiwapishe hivo nikawa nachezesha gari kila upande watakao taka kupita, " piteni juu " walisema makuli waliokuwa kwenye lory yetu, bilakujua kuwa jamaa wamekasirika kiasi gani tukaendelea na safari kwa mtindo huo.
Mbele kama kilomita kumi gari yetu ikapata pancha tairi ya mbele na kutulazimu kusimama, bila hiyana wajeda nao wakasimama na kututaka tupande kwenye gariyao, ilikuwa majira ya saa 7 mchana, walitupeleka kambini nakutuweka juani mpaka saa9 alasiri, kisha wakatupatia soda cocacola kilammoja, tulipomaliza tukaletewa ndoo mbilimbili za maji na kuamriwa kwakutumia vizibo vya soda tuzokunywa tujaze maji zile ndoo ndio itakuwa pona yetu, duuh tulikesha mpaka keshoyake saa5usiku, nalijuta mbona, mpaka leo nikiona magari yawale jamaa huwa nawapisha hatakama wako mbali, sidhani kama ntarudia ile mchezo....
Nyc sunday to all jf members...