Nihurumieni mwenzenu nakufa

Habari zenu wanajf wenzangu nina shida jamani eee Mungu wangu nisaidie niweze kueleweka nahitaji watu wenye moyo wa kujitoa wanisaidie jamani nipo karibu na mauti mimi.

Wapendwa nadaiwa pesa nyingi sana na bank na sijui wapi nitaweka sura yangu maana watu hawa wamechachamaa kweli mfukoni nina elfu 6500 tu jamani mimi nitaenda wapi natamani nijitoe uhai ila nawaza huko niendako itakuwaje nikikutana na moto wa jehanamu milele?

Wanajf nyie ndio tegemeo langu la mwisho naombeni mnisaidie deni linatakiwa kulipwa kabla mwezi kuisha la sivyo mimi nitahukumiwa jamani ohhh

Sina pa kukimbilia yeyote anayeweza kunisaidia kwa masharti yoyote nipo tayari ili mradi mimi niachane na hili deni jamani niishi kwa amani. Nahitaji watu 25 wakujitolea kila mmoja milioni moja nipate milioni 25 nilipe hii bank niishi kama watu wengine. Yeyote atakayenipa nitakua namlipa taratibu au anipe kazi yoyote nimfanyie bure na nitaifanya kwa akili na uwezo wangu wote.

Nisaidien jamani nawaomba Mungu atawaridishia mlipotoa.

I declare my interest ID hii ni mpya kwa sababu zisizozuilika.

Yeyote atakaeweza kunisaidia nipo tayari kuongozana nae hadi bank ili ahakikishe kweli ninadaiwa.

Story ya deni ilivyo
Pesa hizo ziliingizwa kimakosa kwenye akaunti yangu na bank yenyewe na mimi kwa vile nilikua nategemea pesa nikajua ndio zangu nikafanya nazo biashara na biashara yenyewe watu wamenidhulumu nimebaki sina kitu nifanyeje mimi na biashara ilikua haijasajiliwa sina haki hata ya kuwapeleka mbele ya sheria ninaowadai jamani nitakufa mimi dunia itaniua mimi
Chochote ulichonacho naomba mchango wako jamani nitafanyaje mimi sina hela nipo nipo tu natamani nikitembea gari linipitie nife hapohapo dah
Pole na Hongera;Kama waliziingiza wenyewe basi fanya hivi nenda kapitia penal code ujue maximum unawezafungwa muda gani.Maana hizo pesa zilikuja kama za tatu mzuka so zaweza kuwa halali yako.Pili Je hizo ambazo ulitarajia kuzipata zilishalipwa?kama hazijalipwa waambie wasubiri zikija wakate juu kwa juu.Tatu
 
Fanya hivi, hiyo 6,500/- asubuhi nunua bundle la buku (data). Kisha 5,500/- tupia kwenye tigo pesa/m-pesa.

Download app ya 1xbet www.1xbet.com kisha fungua account humo kwa kufuata maelekezo. Kisha upload/deposit hiyo 5,000/-

Ukimaliza close app, fungua app ya Jamii Forums kisha ingia kwenye huu uzi


Wazee Wenzangu Wa Kuweka Mzigo (Kubet) - Karibuni Tubashiri Mechi Za Leo! - JamiiForums

Hapo utakutana na wataalamu wa mambo ya kuzalisha pesa kwa kucheza na intuition na lucky. Ukiwa na bahati mpaka jioni unaweza ukawa umepata pakuanzia.

 
Poleee, ID/Account umefungua usiku saa tatu, Huu uzi umeuandika usiku huu saa tisa kamili, ngoja tukusubr mpk asubu ukanushe au laaa.... pengne unaota au n haya masimu ya tecno umelilalia limeshafungua ID lenyewe likacopy mavitu kutoka FB au kweny Msg za kawaida likaingia Jf likapest lika post, maana inaonesha umepost tu n kama lijisaa limepita hukurud tena hewan, Au ndo umepata usingz? M mwenyewe sidaiwi wala sina stress zozote lakn nimekosa ka usingz sembuse mtu anaefikiria kufaaa?

Kama n kweli, Pole sanaaa kwan huna assets zozote zinazofka hio 25M Au kukaribia? Mda wa kulipa deni kwa hiari walikupa na umeshapita? umejarb kuongea nao kwa busara ukawaeleza nia yako ya kulipa? huwez huko huko bank ukafanya kaz bure kwa mda utakaofidia hilo deni?
M25 si haba kama huna hata mia na huna mzunguko wa kuipata, ila huwez ilinganisha na uhai wako dada, una uhakika wapo serious wanataka wakufunge?

Mana Hakuna watu wenye mikwara kwenye kudai kama bank, wakikukopesha au wakikuomba ukope wanakuletea vijidada vizurii vinawaka waka, sauti nyororo, ngozi chocolate wanakubembeleza mpk ukubali kuchukua mkp mwenyewe,
Wakija kudai sasaaa.... Unaletewa njemba imefumuka usoo. Nyeusi tiii huku imevaa miwani inafunika mpk matundu ya pua, suruali kama pajama, chini bonge ya buti au raba kama za kangi, ikiingia inakua na mbwembwe na mikwara, yaan mnasalimiana huku anazima switch ukutani huku anachomoa cable za tv, fridge, extensions n.k tena anafanya kuvuta(Anashikia kule kwenye kichwa anavuta) huku anasunya, ukiangalia huo uso unaosunya waweza usahau mpk kiwango cha deni na benk uliyokopa

Unasema atakae kusaidia utampa chochote atakachotaka,
My dear sister hicho chochote baadae inaweza iwe mthan zaid ya huu utaman ukakope tena bank hata mara mbili ya hio ulipe kuondokana na chochote,
Binafsi mimi na hvyo sina familia bd, ningetoroka kwanza nikaanze kuzisaka, Kama kuna watakachofanya huko nyuma poa tu, LAWAMA HAPEWI MBUZI, siku nazipata nawaletea kwa suprise uone kama watakusumbua,

Wazee tujifunze kitu hapa, usikubar kutoka kapa
Yani katika watu walionifanya nicheke na kuanza wiki vizuri ni wewe. Yani nimecheka hadi nashikilia tumbo....
 
Hahaaa iv huu uzi bd upo, Mtoa mada alikuja? nakumbuka ule usiku anaupost tu niliuona halaf akapotea
 
Ebu siku nyingne jaribu kutengeneza Uongo wako ufanane na Ukwel.
Umesema Bank walikuingizia fedha milion 25 wakat huo nawe ulkua unategemea kupata fedha ukadhani ndo izo.
SWALI! Je wew ulitegemea hao watu wakowakuingizie shs ngap? kama pesa uliotaraji wakuingizie hao watu wako na walizokuingizia kimakosa watu wa benki kam ni Tofauti kwanin hukushtuka?

Hujatuambia km hao watu uliowategemea kukuingizia fedha ujasema km waliingiza izo pesa
Mwisho, nafikiri ingekua busara sn km ingekua pale walipokuingizia izo fedha ungekuja apa kuomba Ushauri(whether uzitumie or not) hop ungepata ushauri mzur sn ambao ungekusaidia usingeingia kweny matatizo aya
POLE SANA LABDA WEKA NAMBA ZA SIMU TUKUSAIDIA ATA BUKU BUKU UKITAKA WATU 25 WAKUKUPA MILION 1 kila mmoja hutawapata
 
Mara ya mwisho nimeona amesema anaenda bank, nasubiria arudi atuambie kilichojiri huko bank
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom