Mayasa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 583
- 295
yah mumewe mtu mzima kiasiYes ana miaka 33 kama sikosei ila mume wake anaonekana mkubwa na first born wake ni mkubwa nadhani ana 13 au 14.
yah mumewe mtu mzima kiasiYes ana miaka 33 kama sikosei ila mume wake anaonekana mkubwa na first born wake ni mkubwa nadhani ana 13 au 14.
ukiona anaongea taratibu ujue huyo alizaliwa nje ya ndoa, mzazi wake wa ukweli siyo mnigeria.sio kweli kabisa...kuna Mnigeria unaweza kutana nae anaongea taratibu mpaka wakati mwingine weye unajiona una kelele!
Yes ana miaka 33 kama sikosei ila mume wake anaonekana mkubwa na first born wake ni mkubwa nadhani ana 13 au 14.
watu zaidi ya milioni 150 wote wawe wanaongea kwa sauti...haya mazitoukiona anaongea taratibu ujue huyo alizaliwa nje ya ndoa, mzazi wake wa ukweli siyo mnigeria.
Sidhani kama ramsey kapita.. maana wenyewe wanasema ramsey alikuwa wa Genevieve..mnasema hana scandal lakini mimi siamini kama Ramsey hajampitia aisee..lol
watu zaidi ya milioni 150 wote wawe wanaongea kwa sauti...haya mazito
hahahahahahahahahah hujatulia wewe....mie nnachojua Yoruba ni wakorofi na wachawi wanaoongoza Nigeria ila kwa Igbo sijui kwa kweli!!!wapo wa nigeria watulivu mno
kuna jimbo lile analotoka 2face na p square
wanasifika kwa utaratibu na utlivu
wenye kelele ni yoruba na igbo....kelele tupu...
watu zaidi ya milioni 150 wote wawe wanaongea kwa sauti...haya mazito
sio kweli kabisa...kuna Mnigeria unaweza kutana nae anaongea taratibu mpaka wakati mwingine weye unajiona una kelele!
kuna ukweli ndani yake mpendwa..Wachache mno wapole
wengi rude tu
afu perception yao kwa wadada wa kitz siipendi
wanawaona wauzaji tu, kwa hiyo its stricly bznes
sijui hii aidia walipata wapi
hata watz hawana umeme...na sio kweli kwamba hawana umeme ila ndani ya lisaa unaweza katika mara 15na zaidi,ndo maana kuepuka adha kama hizi wengi wao wanaishi vijijini!!wale kabila ambazo zamani walikuwa wana sauti ya chini nao siku izi wanaongea kwa kelele pia. tatizo hawana umeme , kila nyumba anatumia generator. sasa ni kelele streets zoteeeeeeeeee. hakuna kusikilizana, so lazima kuongea sauti kubwa kulabiliana na hii kelel ya generator
wale kabila ambazo zamani walikuwa wana sauti ya chini nao siku izi wanaongea kwa kelele pia. tatizo hawana umeme , kila nyumba anatumia generator. sasa ni kelele streets zoteeeeeeeeee. hakuna kusikilizana, so lazima kuongea sauti kubwa kulabiliana na hii kelel ya generator
yes Nyumba Kubwa, nilishaziona.. yule kijana mie nakubali kwa kweliKuna movie nyingine ame act John Dumelo na Tonto ndo iliyonifanya nimjue na kumpenda for the first time. Inaitwa Love alone Part two yake sijuhi ndo one inaitwa secret shadow. zote ni nzuri. Hizi zote zinapatikana You Tube.