Humu jf ukimfundisha mtu dawa anadharau wakati tatizo ni lake.Mkuu nilikupa dawa umepuuzia, narudia teba hizi dawa nina uhakika nazo kwa asilimia 100, kuna mtu alishapona na dawa zangu akiwa kwenye stagge aliyopo mkeo. Jaribu kumpa, ale stafeli hata 5 kwa siku na majani yake yawe ndo maji ya kunywa lita 2 au zaidi kwa siku. Utaokoa maisha ya mkeo
Pole Sana mkuu Kwa kipindi chote cha kuuguza mpaka mwisho wake , Mungu wa Mbinguni azidi kukutia nguvu Kwenye kipindi hiki kigumu ZaidiHATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
nimesikitika sana ndugu yangu!HATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Apumzike kwa amani na tumshukuru Mungu kwa yote.HATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Pole sana mkuu, Mungu akutie nguvu. Nikupe tu neno la faraja kuwa hii Dunia ni njia na sisi tunapita, hakuna njia tunaweza epuka kifo. Zika mkeo na ushukuru kwa yote.HATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Aisee pole sanaPole sana mkuu, Mungu akutie nguvu. Nikupe tu neno la faraja kuwa hii Dunia ni njia na sisi tunapita, hakuna njia tunaweza epuka kifo. Zika mkeo na ushukuru kwa yote.
NB: Nimetoka kuzika ndugu wa karibu sana jana kwa huu ugonjwa wa cancer so naelewa maumivu na gharama za kuuguza. Huu ugonjwa ni KIBOKO
Pole sana Mkuu kwa magumu yote uliyopitia; wakati wa kumuuguza mkeo na hatimaye kifo chake.HATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Habari zenu wakuu!
Kuna uzi nilileta humu (jukwaa la afya) kuelezea namna mke wangu anavyopambania uhai wake kwa ugonjwa wa saratani ya matiti.
Kwakweli matumaini ya mke wangu yanazidi kufifia sana, naona kwa sasa anakaribia mwisho wa uhai wake.
Napata hisia kali sana ambazo ukisoma hapa huwezi kuzihisi mpaka labda upatwe na jambo kama hili.
Najua wapo wazoefu waliopitia hali kama hii, ijapokua hali hii kila mmoja anaweza kuimudu kwa namna yake ila najua walau wanaweza kusaidia namna ya kumudu hisia hizi.
Kwa ambaye hujapitia nyakati kama hii kwa mpendwa wako, sijui hata nikusimuliaje!
Sijui kwa namna gani nitaweza kumudu kusahau hii hali ndugu zangu.
Ahsanteni
Mbona ile namba niliyokupa hukumtafuta yule mtu angekusaidia hata ushauri alikua na mgonjwa Wa cancer kashafanyiwa mionzi na operation sasa hivi anaendelea vizuri sana, nilimuuliza Jana kwamba Kuna mtu anamgonjwa kama wako nilpatia namba yako akupigie uweze kumsaidia jinsi ya kufanya akaniambia hujamtafuta na yuko tayari kukusaidia hata mchango Wa kipesa kama huna uwezo.Habari zenu wakuu!
Kuna uzi nilileta humu (jukwaa la afya) kuelezea namna mke wangu anavyopambania uhai wake kwa ugonjwa wa saratani ya matiti.
Kwakweli matumaini ya mke wangu yanazidi kufifia sana, naona kwa sasa anakaribia mwisho wa uhai wake.
Napata hisia kali sana ambazo ukisoma hapa huwezi kuzihisi mpaka labda upatwe na jambo kama hili.
Najua wapo wazoefu waliopitia hali kama hii, ijapokua hali hii kila mmoja anaweza kuimudu kwa namna yake ila najua walau wanaweza kusaidia namna ya kumudu hisia hizi.
Kwa ambaye hujapitia nyakati kama hii kwa mpendwa wako, sijui hata nikusimuliaje!
Sijui kwa namna gani nitaweza kumudu kusahau hii hali ndugu zangu.
Ahsanteni
Mgonjwa amefarikiMbona ile namba niliyokupa hukumtafuta yule mtu angekusaidia hata ushauri alikua na mgonjwa Wa cancer kashafanyiwa mionzi na operation sasa hivi anaendelea vizuri sana, nilimuuliza Jana kwamba Kuna mtu anamgonjwa kama wako nilpatia namba yako akupigie uweze kumsaidia jinsi ya kufanya akaniambia hujamtafuta na yuko tayari kukusaidia hata mchango Wa kipesa kama huna uwezo.
Mkuu mbona sijaona namba? Ahsante sana lakiniMbona ile namba niliyokupa hukumtafuta yule mtu angekusaidia hata ushauri alikua na mgonjwa Wa cancer kashafanyiwa mionzi na operation sasa hivi anaendelea vizuri sana, nilimuuliza Jana kwamba Kuna mtu anamgonjwa kama wako nilpatia namba yako akupigie uweze kumsaidia jinsi ya kufanya akaniambia hujamtafuta na yuko tayari kukusaidia hata mchango Wa kipesa kama huna uwezo.
Pole sana kiongoziHATIMAYE AMEAGA DUNIA BAADA YA MAPAMBANO YA MUDA MREFU NA SARATANI YA MATITI ILIYOSHAMBULIA MAPAFU YAKE.
ALIYETOA NDIYE AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Mkuu Hii mitandao ina mambo mengi ya kushangaza, tenda tu jinsi nafsi ilivyokusukuma baada ya kusoma bandiko na uende zako.Mbona ile namba niliyokupa hukumtafuta yule mtu angekusaidia hata ushauri alikua na mgonjwa Wa cancer kashafanyiwa mionzi na operation sasa hivi anaendelea vizuri sana, nilimuuliza Jana kwamba Kuna mtu anamgonjwa kama wako nilpatia namba yako akupigie uweze kumsaidia jinsi ya kufanya akaniambia hujamtafuta na yuko tayari kukusaidia hata mchango Wa kipesa kama huna uwezo.