Nifanye nini kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wangu?

Pole sana classmate tulikua wote udsm 2015-2018.
Pole sana ndugu yangu, nilipitia maumivu kiasi lkn alikua ni mtoto wangu wa kiume alifariki 2021 akiwa na mwaka mmoja na miezi 9.
Ila kwako naona ni kubwa zaidi. Cha muhimu bwana prospa jitahidi kua na ustahimilivu wa kiume kwasababu wewe ndo mume wake.
Usiruhusu aione hofu yako kua unaenda kumpoteza atakosa amani kabisa. Wuoneshe tu upendo wa kila siku mfariji na kua mwema kwakwe huku akiamini ni wotenapambania uhai wake.
Jaribu kuwasiliana na viongozi wenu wa kiroho, ili awe anapata huduma za kiroho kama vile maombezi naeza ya bwana. Hivi vitu hua vinaleta faraja kubwa hasa katika nyakati zake za mwisho.
Jitahidi kulea vizuri watoto watoto nyakati hizi za taabu na ugonjwa ili apate imani kua wako sehemu sahihi hata yeye asipokuwepo.
Changamoto na maumivu unayopitia ni makubwa. Lkn jitahidi tu ndugu yangu.
We are men, we were born to deal with problems and solve complixity.
 
Habari zenu wakuu!

Kuna uzi nilileta humu (jukwaa la afya) kuelezea namna mke wangu anavyopambania uhai wake kwa ugonjwa wa saratani ya matiti.

Kwakweli matumaini ya mke wangu yanazidi kufifia sana, naona kwa sasa anakaribia mwisho wa uhai wake.

Napata hisia kali sana ambazo ukisoma hapa huwezi kuzihisi mpaka labda upatwe na jambo kama hili.

Najua wapo wazoefu waliopitia hali kama hii, ijapokua hali hii kila mmoja anaweza kuimudu kwa namna yake ila najua walau wanaweza kusaidia namna ya kumudu hisia hizi.

Kwa ambaye hujapitia nyakati kama hii kwa mpendwa wako, sijui hata nikusimuliaje!

Sijui kwa namna gani nitaweza kumudu kusahau hii hali ndugu zangu.
Ahsanteni
Kaka Pole sana hili kwa macho yakibinadamu ni ligumu, tu mtumainie Mungu ktk kila hatua mpate faraja familia nzima, Mungu Mweneyezi muweza wa yote atakupa faraja kuu ktk mtihani huu mkubwa mnao upitia familia nzima, Mbarikiwe sana .
 
Pole sana mkuu. Endelea kuwa naye karibu ukimfariji.

Pia, jitahidi ukubaliane na uhalisia, kwamba kifo kipo na wanadamu wote tutakufa tu.
 
Pole sana classmate tulikua wote udsm 2015-2018.
Pole sana ndugu yangu, nilipitia maumivu kiasi lkn alikua ni mtoto wangu wa kiume alifariki 2021 akiwa na mwaka mmoja na miezi 9.
Ila kwako naona ni kubwa zaidi. Cha muhimu bwana prospa jitahidi kua na ustahimilivu wa kiume kwasababu wewe ndo mume wake.
Usiruhusu aione hofu yako kua unaenda kumpoteza atakosa amani kabisa. Wuoneshe tu upendo wa kila siku mfariji na kua mwema kwakwe huku akiamini ni wotenapambania uhai wake.
Jaribu kuwasiliana na viongozi wenu wa kiroho, ili awe anapata huduma za kiroho kama vile maombezi naeza ya bwana. Hivi vitu hua vinaleta faraja kubwa hasa katika nyakati zake za mwisho.
Jitahidi kulea vizuri watoto watoto nyakati hizi za taabu na ugonjwa ili apate imani kua wako sehemu sahihi hata yeye asipokuwepo.
Changamoto na maumivu unayopitia ni makubwa. Lkn jitahidi tu ndugu yangu.
We are men, we were born to deal with problems and solve complixity.
pole kwa kufiwa na mtoto mkuu...imenichoma ghafla
 
Mola wetu mwema akubariki, akutie nguvu ya kuvumilia maumivu.

Jikaze kwa kadri unavyoweza hasa ukiwa naye, pia waonyeshe watoto kuwa yote yatakuwa sawa.

Ombeni kwa pamoja, imba nyimbo anazopenda, muonyeshe kuwa kila kitu itakuwa sawa.

Wewe ni baba na mume mwema, Mola atakuonyesha njia.
 
Pole sana classmate tulikua wote udsm 2015-2018.
Pole sana ndugu yangu, nilipitia maumivu kiasi lkn alikua ni mtoto wangu wa kiume alifariki 2021 akiwa na mwaka mmoja na miezi 9.
Ila kwako naona ni kubwa zaidi. Cha muhimu bwana prospa jitahidi kua na ustahimilivu wa kiume kwasababu wewe ndo mume wake.
Usiruhusu aione hofu yako kua unaenda kumpoteza atakosa amani kabisa. Wuoneshe tu upendo wa kila siku mfariji na kua mwema kwakwe huku akiamini ni wotenapambania uhai wake.
Jaribu kuwasiliana na viongozi wenu wa kiroho, ili awe anapata huduma za kiroho kama vile maombezi naeza ya bwana. Hivi vitu hua vinaleta faraja kubwa hasa katika nyakati zake za mwisho.
Jitahidi kulea vizuri watoto watoto nyakati hizi za taabu na ugonjwa ili apate imani kua wako sehemu sahihi hata yeye asipokuwepo.
Changamoto na maumivu unayopitia ni makubwa. Lkn jitahidi tu ndugu yangu.
We are men, we were born to deal with problems and solve complixity.
Daah pole sana classmate

Pia ahsante sana ndugu. Tulikua kozi moja?
 
Mtanzania , we need to learn kuwa realistic,

comments nyingi ni emotional Yesu this Yesu that ……. hakuna aliyepona Kansa kwa kumuamini Yesu. Hakuna in a real world …. Labda kwenye dunia ya maigizo na utapeli.

Tunaheshimu imani za kila mmoja.

However, Maisha sio rahisi hivyo kama mnavoandika.

Apewe ushauri wa kisayansi na palliative care , that is the only way .

Cancer is real na kuna wagonjwa wengi Tanzania;

Ndugu yetu anapitia changamoto nyingi mpaka kalileta hapa; kuna mdau kauliza hapo juu ipo stage gani, hilo lilikuwa ni swali la msingi…….. hajajibiwa…. Majibu mengi ni Yesu Yesu,

Ndugu yetu anapitia gharama kubwa sana ; Dawa za Saratani ni ghali, dose moja inaweza kuwa 2M na anatakiwa achome dose 4 kwa mwezi, depending na aina ya kansa na state Yake ….. hiyo ni 8M …. Anatoa wapi? Hata Kama ni 5M , anatoa wapi kwa mwezi ?

Kuna chakula maalaum na supplements , ili asifikie ile hatua ya mikono kuwa meusi , kucha kuharibika due to pigmentation loss na nywele kunyonyoka , anatoa wapi?


This man anapitia magumu mengi sana kuliko haya majibu yetu ya Yesu this , church that maombi that

Kuna ile oral morphine anatakiwa kutumia kila siku ili aweze kulala maana maumivu ni makali.

Watanzania tujifunze kuwa realistic , na tupunguze fantasy za maombi maombi kabla ya critical analysis

kama yupo kwenye palliative care tujue , kama yupo kwenye end of life care tujue, kama yupo kwenye earlier stage tujue so that we can help

Kindly mleta uzi ni inbox kama unakumbana na changamoto ya matibabu pamoja na ushauri zaidi.
 
Mtanzania , we need to learn kuwa realistic,

comments nyingi ni emotional Yesu this Yesu that ……. hakuna aliyepona Kansa kwa kumuamini Yesu. Hakuna in a real world …. Labda kwenye dunia ya maigizo na utapeli.

Tunaheshimu imani za kila mmoja.

However, Maisha sio rahisi hivyo kama mnavoandika.

Apewe ushauri wa kisayansi na palliative care , that is the only way .

Cancer is real na kuna wagonjwa wengi Tanzania;

Ndugu yetu anapitia changamoto nyingi mpaka kalileta hapa; kuna mdau kauliza hapo juu ipo stage gani, hilo lilikuwa ni swali la msingi…….. hajajibiwa…. Majibu mengi ni Yesu Yesu,

Ndugu yetu anapitia gharama kubwa sana ; Dawa za Saratani ni ghali, dose moja inaweza kuwa 2M na anatakiwa achome dose 4 kwa mwezi, depending na aina ya kansa na state Yake ….. hiyo ni 8M …. Anatoa wapi? Hata Kama ni 5M , anatoa wapi kwa mwezi ?

Kuna chakula maalaum na supplements , ili asifikie ile hatua ya mikono kuwa meusi , kucha kuharibika due to pigmentation loss na nywele kunyonyoka


This man anapitia magumu mengi sana kuliko haya majibu yetu ya Yesu this , church that maombi that

Kuna ile oral morphine anatakiwa kutumia kila siku ili aweze kulala maana maumivu ni makali.

Watanzania tujifunze kuwa realistic , na tupunguze fantasy za maombi maombi kabla ya critical analysis

kama yupo kwenye palliative care tujue , kama yupo kwenye end of life care tujue, kama yupo kwenye earlier stage tujue so that we can help

Kindly mleta uzi ni inbox kama unakumbana na changamoto ya matibabu pamoja na ushauri zaidi.
Umeongea ukweli mkuu, wewe ndo umesaidia
 
Pole mzee,
Uko wapi mkuu, siku moja tufanye kuja kumuona mgonjwa, tujiunge watu watakao kuwa tayari tufike kumuona mgonjwa bila ya kutaja mie fulani kwa wale wasiotaka kujulikana.
Mutashikwa wote na mutabondwa sana mpaka mutataja id zenu za jf,kuna mpuuzi mmoja nilichangia mada fulani ya siasa yule bwege akanijia pm ili anijaze kwakujifanya ni rafiki ila nilimuotea
 
LISHE YA MIMEA NA MAJANI itasaidia sana kuondoa sumu mwilini na kurudisha uwezo wa mifumo yake kupambana na madudu yaliyoko kwenye INI LAKE, kwenye UTUMBO WAKE, kwenye DAMU YAKE na Kwenye TISSUES ZA MATITI YAKE.

Mwili unatakiwa ujitakase na kujifufua wenyewe kwa kuupatia mazingira sahihi yasiyo na sumu au viambata hatarishi kama madawa na machanjo, soda, sukari, mionzi, vipodozi, maji yenye kemikali, wali, sembe, vilevi na uchafu mwingineo.

Umeshawahi kuona ng'ombe ana KANSA? HAPANA.

Sumu zote zinatakiwa kuondoka mwilini ili mwili uweze kujenga kinga zake madhubuti za kuondoa madudu na matakataka yote.

Huu ni mchakato wa taratibu, sio miujiza. Itachukua hata miezi mitatu kuanza kuona matokeo, lakini ni tiba muafaka na mujaarab haswaa
Mkuu vipi fangasi dawa yake ni ipi?
 
LISHE YA MIMEA NA MAJANI itasaidia sana kuondoa sumu mwilini na kurudisha uwezo wa mifumo yake kupambana na madudu yaliyoko kwenye INI LAKE, kwenye UTUMBO WAKE, kwenye DAMU YAKE na Kwenye TISSUES ZA MATITI YAKE.

Mwili unatakiwa ujitakase na kujifufua wenyewe kwa kuupatia mazingira sahihi yasiyo na sumu au viambata hatarishi kama madawa na machanjo, soda, sukari, mionzi, vipodozi, maji yenye kemikali, wali, sembe, vilevi na uchafu mwingineo.

Umeshawahi kuona ng'ombe ana KANSA? HAPANA.

Sumu zote zinatakiwa kuondoka mwilini ili mwili uweze kujenga kinga zake madhubuti za kuondoa madudu na matakataka yote.

Huu ni mchakato wa taratibu, sio miujiza. Itachukua hata miezi mitatu kuanza kuona matokeo, lakini ni tiba muafaka na mujaarab haswaa

Wapo ngombe wana tumors ndio, mbuzi na kondoo
Hata ukioneshwa cancer za wanyama unaweza usitambua but zipo na
wengi sana hata wanaochinjwa kule vingunguti wengine wanakuwa na tumors , sema kibongo bongo tunapuuza

Kwani tumor ni nini mzee; ni abnormalities ya cells tu , au cells zimefanya mutations na ku create abnormal cells ambazo zikaanza ku spreed mwilini, na ndio maana kansa ukiiwahi mapema unaiondoa…….. ni kuondoa hizo abnormal cells that is all

Punguzeni mambo ya loliondo kwenye mambo ya msingi


Anatakiwa kutibiwa Hospital, kumbuka cancer ni abnormality cells zilizo divide uncontrollably na kusambaa mwilini. Anatakiwa kutumia chemotherapy kuzuia spread Kama imeshaanza kusambaa na sio kusema atumie majani, na mimea sijui kujifufua

Hayo makosa alifanya Steve Jobs and it was too late cancer ikawa imeshasambaa….. it became incurable
Hatari

Yes anatakiwa kupunguza ulaji wa sugar na red meat kwa sababu hizo zina create acidity ndani ya mwili ambapo ni favorable conditions for spreading cancer cells

Chakula chake kiwe zaidi fruits and vegetables na fats and some proteins ili ku create mazingira mazuri ya alkaline ndani ya mwili ambapo ni unfavorable conditions for cancer cells.

Some cancer can be cured at early stage through medical intervention ikiwemo chemotherapy au radiation or homonitherapies

Tuwe makini tunaposhauri
 
Wapo ngombe wana tumors ndio, mbuzi na kondoo
Hata ukioneshwa cancer za wanyama unaweza usitambua but zipo na
wengi sana hata wanaochinjwa kule vingunguti wengine wanakuwa na tumors , sema kibongo bongo tunapuuza

Kwani tumor ni nini mzee; ni abnormalities ya cells tu , au cells zimefanya mutations na ku create abnormal cells ambazo zikaanza ku spreed mwilini, na ndio maana kansa ukiiwahi mapema unaiondoa…….. ni kuondoa hizo abnormal cells that is all

Punguzeni mambo ya loliondo kwenye mambo ya msingi


Anatakiwa kutibiwa Hospital, kumbuka cancer ni abnormality cells zilizo divide uncontrollably na kusambaa mwilini. Anatakiwa kutumia chemotherapy kuzuia spread Kama imeshaanza kusambaa na sio kusema atumie majani, na mimea sijui kujifufua

Hayo makosa alifanya Steve Jobs and it was too late cancer ikawa imeshasambaa….. it became incurable
Hatari

Yes anatakiwa kupunguza ulaji wa sugar na red meat kwa sababu hizo zina create acidity ndani ya mwili ambapo ni favorable conditions for spreading cancer cells

Chakula chake kiwe zaidi fruits and vegetables na fats and some proteins ili ku create mazingira mazuri ya alkaline ndani ya mwili ambapo ni unfavorable conditions for cancer cells.

Some cancer can be cured at early stage through medical intervention ikiwemo chemotherapy au radiation or homonitherapies

Tuwe makini tunaposhauri
Endelea kumlaghai mwenzako na hiyo MIONZI wakati mkewe anaangamia.

Ameshakwambia, wametumia mionzi hali imezidi kuwa mbaya, wewe unamwambia akajibanike kwenye mionzi tena na tena!

This is COGNITIVE DISSONANCE, A ZOMBIE-PSYCHOSIS, unaona hatari lakini unasonga mbele kwenye maangamizi badala ya kujiokoa.

Ni kama NYUMBU anapojizamisha kwenye mdomo wa mamba VOLUNTARILY. 🤣

Zamani nilikuwa naambiwa kuna WALKING ZOMBIES, sasa naanza kuelewa taratibu.

The WALKERS 🤣🤣🤣
 
Mtanzania , we need to learn kuwa realistic,

comments nyingi ni emotional Yesu this Yesu that ……. hakuna aliyepona Kansa kwa kumuamini Yesu. Hakuna in a real world …. Labda kwenye dunia ya maigizo na utapeli.

Tunaheshimu imani za kila mmoja.

However, Maisha sio rahisi hivyo kama mnavoandika.

Apewe ushauri wa kisayansi na palliative care , that is the only way .

Cancer is real na kuna wagonjwa wengi Tanzania;

Ndugu yetu anapitia changamoto nyingi mpaka kalileta hapa; kuna mdau kauliza hapo juu ipo stage gani, hilo lilikuwa ni swali la msingi…….. hajajibiwa…. Majibu mengi ni Yesu Yesu,

Ndugu yetu anapitia gharama kubwa sana ; Dawa za Saratani ni ghali, dose moja inaweza kuwa 2M na anatakiwa achome dose 4 kwa mwezi, depending na aina ya kansa na state Yake ….. hiyo ni 8M …. Anatoa wapi? Hata Kama ni 5M , anatoa wapi kwa mwezi ?

Kuna chakula maalaum na supplements , ili asifikie ile hatua ya mikono kuwa meusi , kucha kuharibika due to pigmentation loss na nywele kunyonyoka , anatoa wapi?


This man anapitia magumu mengi sana kuliko haya majibu yetu ya Yesu this , church that maombi that

Kuna ile oral morphine anatakiwa kutumia kila siku ili aweze kulala maana maumivu ni makali.

Watanzania tujifunze kuwa realistic , na tupunguze fantasy za maombi maombi kabla ya critical analysis

kama yupo kwenye palliative care tujue , kama yupo kwenye end of life care tujue, kama yupo kwenye earlier stage tujue so that we can help

Kindly mleta uzi ni inbox kama unakumbana na changamoto ya matibabu pamoja na ushauri zaidi.
NAKAZIA

Watanzania wanapenda kujifariji na fictional characters, Mungu na Yesu wasio kuwepo.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom