Cheti cha kuzaliwa unapewa bure? Cheti kuzaliwa f10 hata hiyo ya Mahakamani ni F10 maana inasimama badala ya hicho cheti, punguzeni kulalamika, inatakiwa walipie f10 benki, kama wanalipa f5 wanatoa ya kiwi tu na sio gharama halisi!Watu wengi waliokwenda kujiandikisha Kitambulisho cha uraia huku Moshi Vijijini Kata Ya Kibosho Kati wamerudi baada ya kuambiwa kama hawana vyeti vya kuzaliwa walipe shs 5,000/= hakimu ili waape!
Cheti cha kuzaliwa siyo lazima uwe nacho ili upate kitambulisho cha uraia,siyo wote wenye hivyo vyetiMitanzania inapenda lalamika kweli.
Sasa mtu hata cheti cha kuzaliwa hana afu anataka apate NatId