Oa mama watoto wako uyo mshirikiana achana nae ila jiandae kulogwa utakapo muacha
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwamba haelewi anachotaka kufanya sio😃😃Hadi sasa akili ishafungwa kwenye chupa...
Kwamba haelewi anachotaka kufanya sio😃😃
Lord have mercy upon him😃😃🤦♀️🤦♀️Kasharogwa na mama mitunguli...
Tunguri inaongea hapoAnanipenda 100% sina mashaka nae sinaaaa. Kila la kheri mkuu
Mwamba ashatengenezwa hajitambui hajielewi anakuaje na mwanamke mchawi ,mshirikinaTunguri inaongea hapo
Yani nawaza sana sana hili jambo watu wa ushirikina mbeleni bora awe mwanaume mshirikina ila mwanamke lazima tu siku moja ataenda nishtaki kwa mganga.Ogopa sana watu wanaoamini mambo ya ushirikina... atakuja akuwekee limbwata siku moja usijielewe unafanya nini
Kama umelijua hilo basi fanya maamuzi sahihi haraka iwezekanavyoYani nawaza sana sana hili jambo watu wa ushirikina mbeleni bora awe mwanaume mshirikina ila mwanamke lazima tu siku moja ataenda nishtaki kwa mganga.
Ndoa najua kuna kukoseana,siku nimemkosea na akaona nimemuonea nadhani kimbilio lake ni kwa mganga kunikomesha na Ukute kaniendea kwa mganga mzuri,naweza geuzwa ndondocha.
ni kweli nina chaguo ila unapoweka jambo wazi kwa watu wengi unaweza pewa mawazo ambayo hukua nayo ndio mana nikalileta hapa nione,maana kuna watu wazima humu wazazi wetu wenye upeo zaidi yangu na wenye experience mana mimi sio kwanza kupitia hili.Wewe mwenyewe yupo ambae katika nafsi yako ushamchagua unachotaka hapa ni kuhalalishiwa chaguzi yako tu kwa mawazo ya wengine.
Ila kabla kuendelea na maamuzi yako zingatia makuzi ya mwanao. Hakuna maisha mazuri kama mtoto kulelewa na wazazi wote wawili kwa wakati mmoja.
Pia kumbuka mtu mshirikina ni wa kumuogopa kama ukoma. Mshirikina ataondosha baraka yako yote ya maisha.
Kama nilivyosema awali, ushafanya uchaguzi unachotaka hapa ni validation ya maamuzi yako hivyo kila la heri.
anajua na ananiambiaga anajua na hanilaumu kwan anasema ni moja ya makosa aliyo yaruhusu yeye ila nikae nikitambua siku namuoa ndio mwisho wa hiyo michepuko yoteOa mama mtoto wako kabla hakijaumana,inawezekana akijua una mwanamke mwingine ndo kwisha habari yako
sikua nataka kumuacha kwa kupenda na kama wengi mngenishauri nioe huyu mwingine ningefanya hvyo,ndoa si kuzaa kuna zaidi ya hapo ila mpka sasa n mama mtoto ana kura nyingi hivyo nitafanya hivyo Mkuu.Punguza mapepe oa ambae umezaa nae....sasa ukio mwingine huyo uliezaa nae unamuachia nani