mwamii
Member
- Apr 3, 2023
- 13
- 57
Kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza natafuta kikundi Cha watu/ mtu wanao jihusisha na uchawi wa kuwanga usiku ili niweze kujiunga na Mimi kuweza kufundishwa utalaam huo.
Lengo langu sio baya Ila nimeona ni tamaduni nzuri ya kiafrika itakayonifanya niweze ku experience maisha mengine ya kiroho na tamaduni.
Kwa yeyote alie tayari kwa kunikutanisha na mchawi au mtalaam wa Mambo hayo naomba anisaidie hakika nimevutiwa na kuwa mchawi.
Lengo langu sio baya Ila nimeona ni tamaduni nzuri ya kiafrika itakayonifanya niweze ku experience maisha mengine ya kiroho na tamaduni.
Kwa yeyote alie tayari kwa kunikutanisha na mchawi au mtalaam wa Mambo hayo naomba anisaidie hakika nimevutiwa na kuwa mchawi.