mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
je si wakati muafaka kwa jeshi kujitokeza hadharani na kukanusha madai ya CCM na serikali kwamba wananjeshi wataingia mitaani kwa sababu ya serikali tatu.
Ni muda muafaka Mwamunyange kuwadhibitishia watanzania kwamba wao ni weledi na si kweli kwamba wanamawazo ya kupindua nchi eti kwa sababu ya serikali tatu.
Eti kutenganisha mambo ya Tanzania bara na ya muungano ili yawe wazi na yashughulikiwe peke peke eti jeshi litakosa mishahara?
C'mon, Mwamunyange jitokeze kuonya wanasiasa waache kulichezea jeshi; la sivyo tutaamini na nyie ni watu msiotaka mabadilikokatika nchi yetu!
Ni muda muafaka Mwamunyange kuwadhibitishia watanzania kwamba wao ni weledi na si kweli kwamba wanamawazo ya kupindua nchi eti kwa sababu ya serikali tatu.
Eti kutenganisha mambo ya Tanzania bara na ya muungano ili yawe wazi na yashughulikiwe peke peke eti jeshi litakosa mishahara?
C'mon, Mwamunyange jitokeze kuonya wanasiasa waache kulichezea jeshi; la sivyo tutaamini na nyie ni watu msiotaka mabadilikokatika nchi yetu!