Ni wakati sasa kwa Serikali kuzuia uuzwaji wa mazao ya chakula nje ya nchi

Umeelewa nilichoandika? Unafahamu gharama za kilimo wewe au unaongea tu? Serikali iache ujinga. Hawaku subsidize bei za mbolea, mbegu na vitendea kazi halafu walete ujinga tukishavuna.

Hao tunawalipa tozo zao baada ya mateso yote halafu watupangie pa kuuza? Waachane na sisi tutafute masoko wenyewe.

Shida yako wewe nadhani hauko informed. Unadhani hili ni tishio la njaa tu kama matishio mengine yaliyotangulia. This is global. Hatakuwepo wa kukuletea chakula cha msaada hapa. Kila Serikali itakuwa inapambana kunusuru raia wake!

Yapo mataifa ambayo tayari yameshazuia export ya chakula.
 
Tuache siasa za kujipendekeza kwa mataifa mengine, na kuwatesa wananchi wanyonge.

Serikali izuie uuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi. Hali inazidi kuwa mbaya.

Mikoa iliyopo mpakani mazao yanasafirishwa kwa wingi kwenda nje ya nchi.

Serikali iingilie kati, ama sivyo ijiandae kutoa msaada wa chakula kwa kaya maskini hapo baadae!
Tuna kiongozi wa Ajabu sana
 
Tuache siasa za kujipendekeza kwa mataifa mengine, na kuwatesa wananchi wanyonge.

Serikali izuie uuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi. Hali inazidi kuwa mbaya.

Mikoa iliyopo mpakani mazao yanasafirishwa kwa wingi kwenda nje ya nchi.

Serikali iingilie kati, ama sivyo ijiandae kutoa msaada wa chakula kwa kaya maskini hapo baadae!
Tuacheni na sisi Wakulima tufaudu kidogo!
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!
Hawa ndio wapumbafu wanaona KAZI ya kulima ni ya kuumiza watu bila faida
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!
Stupid huyo achana nae
 
Suala la kuzuia uuzwaji chakula nje ya Tanzania tulishamalizana nalo. Serikali isirudie tena hilo kosa hata kama kuna uhaba wa chakula.

Wacha wakulima wauze sehemu wanapopata bei nzuri kwani mbolea imepanda bei sana. Wasipopata bei nzuri kipindi hiki cha mavuno, hawataweza kununua mbolea msimu ujao. Kama kuna uhaba basi serikali inunue chakula cha kutosha na kukigawa kwa wananchi wasio na uwezo kabisa.

Tukiwa na sera imara tutavutia uwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa chakula na hatimae bei zitashuka tu

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Ulimsaidia kwenye kulima na mavuno

Lima mazao yako,kila mtu Acha ale kwa urefu wa kamba yake

Na ikifika Oct mtajuwa umuhimu wa wakulima nyieee

Ova
 
Ukizuia wakulima kuuza nje mazao yako ni sawa na kukuzuia wewe mshahara wako usinunue mali nje.

Acheni wakulima wafaidi jasho lao.

Ikikupendeza twende shambani tukalime
 
Tuache siasa za kujipendekeza kwa mataifa mengine, na kuwatesa wananchi wanyonge.

Serikali izuie uuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi. Hali inazidi kuwa mbaya.

Mikoa iliyopo mpakani mazao yanasafirishwa kwa wingi kwenda nje ya nchi.

Serikali iingilie kati, ama sivyo ijiandae kutoa msaada wa chakula kwa kaya maskini hapo baadae!
usiwe fala tumia akili kwa hiyo tumbo lako unaliona lina maana sana sio lazima ule ugali au wali
Ungekuwa karibu makof ungeyapata unakuwa kama choko

Bei ya pembejeo unazijua ?

Mh. Samia usiwasilikize wajinga kama hawa

Nchi hii mtu anayenyongwa na bei ya product yake ni mkulima

Tuache soko lifanye kazi yake
 
Serikali ya mama naipongeza kwa kuziba masikio kuhusu suala la kufunga mipaka ili bei ya chakula ipungue nasema hivi kwa sababu zifuatazo.
1. Bei za mbolea zimepanda so lazima mazao yapande bei.
2.mafuta yamepanda bei so lazima vitu vipande bei.
3. Mwaka huu hakukua na mvua za kutosha so mavuno ni machache bei lazima ipande ( supply and demand.)
4.uzalishaji wa mazao umepungua sababu ya bei ya mazao kua chini sana kulinganisha na gharama za uzalishaji so watu wengi Waliacha kilimo kabisa. kilikua hakilipi sasa kilimo chini ya uongozi wa huyu mama kina faida.

Kama unataka bei ya chakula iwe chini serikali iache bei ziwe juu za mazao kwa sasa then watu watalima zaidi msimu ujao na bei zitashuka zenyewe .waache wakulima waliopata tabu miaka mingi ya maraisi waliopita ambao hawakujali kabisa wakulima kwa kufunga mipako hovyohovyo bei za chakula zinapopanda. Mm namshauri mama samia raisi wa jamhuri ya muungano azibe masikio kabisa kuhusu kufunga mipaka baada ya mwaka bei ikipanda sana tarajia watu wengi wenye fedha kuwekeza kwenye kilimo sababu mazao yatakua yanalipa. Na kuna uwezekano kukatokea wimbi la watu wengi kuhama mijini na kwenda kuwekeza mashambani na hii itafanya supply iwe kubwa na bei za mazao zitashuka zenyewe.
Ccm wanatakiwa watambue kua wapiga kura wao ni watu wa vijijini ambao asilimia 98 ni wakulima kwa kuacha bei ipande unakua umemjali mkulima zaidi ambaye ni mpiga kura wa ccm . Ccm hawana wapiga kura wengi mijini .hebu wacheni wapiga kura wa ccm ambao ni wakulima awamu hii wapate bei nzuri za mazao. Ccm waachane na makelele ya watu wa mjini kwa kutotaka bei za vyakula zisipande wakati bei mafuta na mbolea ziko juu.
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!
Samahani lakini naona kama vile hauwezi kuona mbali zaidi ya leo!! Ni kweli kuwa bei ya vyakula hususan mahindi na mchele ni kubwa kwa majirani zetu huko nje kama kenya na uganda! Lakini tujue kuwa kuna upungufu mkubwa wa chakula huko duniani. Tatizo ni kwamba chakula hicho hicho am,bacho wakulima wanakiuza huko nje wanaweza kuja kulazimika kukinunua tena kwa bei kubwa mara mbili! Wakulima wetu wana tabia ya kuuza vyakula bila kuweka akiba ya kutosha ya chakula. Na pesa wanazopata kwa kuuza chakula hicho huwa tayari wameshazitumia. Kwa hiyo njaa ikitokea serikali hulazimika kugawa chakula bure kwa gharama kubwa sana. Ilitokea hivyo mwaka 1974 na mwaka 1984. Kwa maana hiyo serikali ina haki na wajibu wa kuzuia uuzaji wa vyakula nchi za nje kama ikiona viashiria vya upungufu wa chakula duniani kama ilivyo kwa sasa! Mataifa mengine kama India tayari yameshazuia uuzaji wa vyakula nje ya nchi zao!
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!
Huyu hata jibu baya la kumpa sina wakati wanapata maafa wanaumwa na manyoka wanaugugua maradhi yasiyotibika kutokana na madawa ya shambani hukubdarvwapo kwenye disco wanachezea viuno vya wakina mama
 
Tuache siasa za kujipendekeza kwa mataifa mengine, na kuwatesa wananchi wanyonge.

Serikali izuie uuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi. Hali inazidi kuwa mbaya.

Mikoa iliyopo mpakani mazao yanasafirishwa kwa wingi kwenda nje ya nchi.

Serikali iingilie kati, ama sivyo ijiandae kutoa msaada wa chakula kwa kaya maskini hapo baadae!
Nchi inayo wajali watu wakek24 Logo


Relief for Kenyans as maize flour prices drop to KSh100

By Francis Muli, K24 Digital
On Mon, 18 Jul, 2022 16:04 | < 1 min read
A shopper purchasing Maize flour.
A shopper purchasing Maize flour. PHOTO/Courtesy


The government has introduced a massive subsidy to millers that will see maize flour prices for a 2kg packet reduced to Ksh100 effective Monday, July 18.

In a statement on Monday, the Ministry of Agriculture directed that all retailers should sell the two-kilogramme packet of flour at Ksh100, down from Ksh230.

"It is agreed between the parties that the ministry shall deploy market surveillance teams to ensure that sifted maize flour is sold at the maximum recommended retail price stated. The market price of maize (per 90kg bag) as at the date of this contract is in the range of Ksh5,800 and Ksh6,000. Based on this market price, MOALFC will compensate the miller for each unit sold," the statement read in part.

Subsidy on maize flour prices
The subsidy will be on for a period of four weeks and overseen by the Ministry of Agriculture as well as the National Treasury, Cereal Millers Association and Grain Mill Owner
 
Wakulima wote oyeeee ngoja tuinyolololoshe dar na arusha. Wao kutwa mikono mfukoni waking ona kuipiga sirikali sisi huku tunawapiga wao ngoma droo
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!
Umeongea vema kabisa.

Serikali inatakiwa iiachE demand na Supply vifanye kazi,ili mkulima avutiwe kulima zaid next yr...ukizui ni sawa na kumkatisha tamaa mkulima maana unakua kama unampangia bei... kama ukiacha soko lijienedeshe next yr wakulima watalima zaid wakitegemea prifit zaidi hence tunaweza fika mahali tanzania ikalisha nchi zote zinazo tuzunguka.
 
Mleta mada nakuomba ufe Kisha ukazikwe karibu na kaburi la jiwe maana akili zako na zake zinafanana sana, ni Bora uishauri serkali iyanunue mazao ya wakulima Ili mkulima aendelee kupata nguvu ya kulima msimu ijao, lakini siyo hizi akili za chattle za kutumia miguvu badala ya logic
 
Back
Top Bottom