Daud omar
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,458
- 977
mmmh happppo kwenye uzito duuuh wa kwangu miezi sita ana kg8.8 na sio bonge wala nini huyo msichana wa kazi usingemwambia akianza mchezo mchafu mtoto hatakua.. bali ungemwambia siku akifanya shughuli yake aoge kwanza ndio amshike mtoto tena umwambie kwa upole na taratibu.akuelewe...
Kweli kwenye huo uzito nao nafkiri pana tatizo, anakula na anashiba lakini? hebu muulize huyo Beki 5