Komandomwiba
Member
- Feb 12, 2017
- 40
- 16
Hapa watu wanashindwa kuelewa ,hivi kulipa deni kwa 15% kunakufanya ulalamike? Hizi asilimia siyo riba eti useme tulikopeshwa kwa riba ya 8% nasasa riba 15%, bali hiz % ni mfumo wa kulipa mkopo na siyo riba , sasa kinachotufanya kulalamika ni nini? Tulipe tuache tamaa! Watu wanaenda benki wanakopa mipesa mingi kwa mshahara wao huohuo na mwezi unaofuata anaanza kurejesha ,lakin bodi iliyokupa kibri cha kusoma hadi mwisho na umepata kazi hutaki kuilipa ,hapa akili zinatumika kweli au UJINGA MTUPU? wengine isingekuwq Bodi ya mikopo Tz tusingesoma! Kwahiyo mimi hata wakisema wakate 30% ,wakate tu si pesa yao bwana! Na kadri wanavyokata kubwa ndivyo deni linawahi kuisha ,sasa shida iko wapi?
TUTUMIE AKILI NA TUWE WASTAATABU, UKILIPA KUNA WADOGO ZETU NAO WATAPATA MIKOPO PIA KWAHIYO TUSIJISAHAU KUWA KUNA WENGINE WANAHITAJI HUDUMA ULIYOWAHI KUNUFAIKA NAYO.
TUTUMIE AKILI NA TUWE WASTAATABU, UKILIPA KUNA WADOGO ZETU NAO WATAPATA MIKOPO PIA KWAHIYO TUSIJISAHAU KUWA KUNA WENGINE WANAHITAJI HUDUMA ULIYOWAHI KUNUFAIKA NAYO.