Ni suala la muda tu Waziri Mchengerwa atafanya tufungiwe na FIFA

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,665
Kiukweli naona hisia za team yake ya Yanga kuwa mguu ndani nje zimemchanganya sana, haswa ukichukulia Simba ilifanya vizuri ugenini.

Kauli alizozitoa jana ukitafakari unaona ni hasira tu, sasa ma hasira yake kuna mambo anataka alazimishe Simba
wafanye ku share mipango yao na Yanga, au kwa sababu Hersi alikuwepo pale hisia za majonzi zikawa nzito?

Sasa sikia ndugu Waziri, siyo lazima Simba ishirikiane na Yanga hata ukitushikia mapanga kama vipi kafute usajili wa Simba SC!

Tangu mwaka 1993 fainali ya CAF Second Leg Dar es Salaam dhidi ya Stella Abidjan magoli mawili ya Boli Zozo yanatinga wavuni na kuinyima Simba nafasi ya kuwa Bingwa wa Afrika waliimba "Uzalendo umetushinda umetushinda" na bila shaka hata wewe popote ulipokuwepo ulishangilia Simba kufungwa.

Ni mabingwa wa kamati za mapokezi na bila shaka tutaziona Simba ikianza kucheza makundi, Manara alikupopoa ukanyamaza kimya ingekuwa msemaji wa Simba kakupa makavu vile ungemuacha kweli?

NI SUALA LA MUDA TU KAULI ZAKO ZA KIBABE ZITAGONGANA NA TFF, NA FIFA WATATIA MGUU. YETU MACHO, BILA SHAKA UTAANZA NA SUALA LA KUTAKA TAKADINI AFUNGULIWE TUTAANDIKA E MAILS ZA KUTOSHA FIFA KUWAAMBIA.

HATUTAAAAKI KU SUPPORT YANGA FANYA UFANYAVYO SASA, AU HERSI ALIKUJA JANA HAPO KUPOKEA TEMBO WARRIORS KUJA KUBEMBELEZA SIMBA WAUNGE MKONO. HATUTAAKI SASA!

waziri kabugi.JPG
 
Haya mambo ya kushangilia wageni yalianzia mbali hukoo watu wakawa wanapokea timu za nje kwa vifijo na nderemo, walivyoona kila wakiwapokea mwisho wa siku vipigo viko pale pale wakaona isiwe tabu, bora sasa tuanze kulia lia tu.
ETI ANAAGIZA NI LAZIMA, PATHETIC KABISA ndo maana sope takadini albino alimpa makavu live, hatutaki sasa kwani lazima?
 
Siwezi kushangilia Simba, afadhali nife.
Good ila mwenzako jana hasira zake ni sare na al hilal na simba kushinda sasa simba wanaagizwa wawasaidie script viongozi wenu, ushabiki wake na u yanga akae nao asituletee makasiriko yake
 
good ila mwenzako jana hasira zake ni sare na al hilal na simba kushinda sasa simba wanaagizwa wawasaidie script viongozi wenu, ushabiki wake na u yanga akae nao asituletee makasiriko yake
Simba hawana script yeyote tuache kudanganyana, huyo waziri siyo mtu wa mpira.

Ndani ya Simba Yanga wana watu wao na ndani ya Yanga Simba wana watu wao.

Ni bahati tu, Simba hana script yeyote.
 
Simba hawana script yeyote tuache kudanganyana, huyo waziri siyo mtu wa mpira.
Ndani ya Simba Yanga wana watu wao na ndani ya Yanga Simba wana watu wao.
Ni bahati tu, Simba hana script yeyote.
hiyo bahati ndiyo ametoa amri washee na yanga sasa , amri yake itapuuzwa afute tu usajili wa simba sc ili aridhishe nafasi yake
 
Kumbe bado mnaamini katika bahati? Haya kaeni msubiri bahati yenu
Bahati ndiyo kila kitu.
Luck = Opportunity + Preparedness
Nafasi inapokutana na utayari. Kama hupati nafasi huwezi kuwa na bahati, na kama haupo tayari huwezi kuitumia bahati.
Bahati siyo kitu kibaya, na haitokei kwa watu wavivu. Kwa hiyo usikubali hayo mambo ya script, Simba wanajiandaa.
No script, it's purely luck.
 
Kiukweli naona hisia za team yake ya Yanga kuwa mguu ndani nje zimemchanganya sana, haswa ukichukulia Simba ilifanya vizuri ugenini.

Kauli alizozitoa jana ukitafakari unaona ni hasira tu, sasa ma hasira yake kuna mambo anataka alazimishe Simba
wafanye kugawana kwa hati yao na Yanga, au kwa sababu Hersi alikuwepo pale hisia za majonzi zikawa nzito?

Sasa sikia ndugu Waziri, siyo lazima Simba ishirikiane na Yanga hata ukitushikia mapanga kama vipi kafute usajili wa Simba SC!

Tangu mwaka 1993 fainali ya CAF Second Leg Dar es Salaam dhidi ya Stella Abidjan magoli mawili ya Boli Zozo yanatinga wavuni na kuinyima Simba nafasi ya kuwa Bingwa wa Afrika waliimba "Uzalendo umetushinda umetushinda" na bila shaka hata wewe popote ulipokuwepo ulishangilia Simba kufungwa.

Ni mabingwa wa kamati za mapokezi na bila shaka tutaziona Simba ikianza kucheza makundi, Manara alikupopoa ukanyamaza kimya ingekuwa msemaji wa Simba kakupa makavu vile ungemuacha kweli?

NI SUALA LA MUDA TU KAULI ZAKO ZA KIBABE ZITAGONGANA NA TFF, NA FIFA WATATIA MGUU. YETU MACHO, BILA SHAKA UTAANZA NA SUALA LA KUTAKA AFUNGULIWE TUTAANDIKA E MAILS ZA KUTOSHA FIFA KUWAAMBIA.

HATUTAAAAKI KU SUPPORT YANGA FANYA UFANYAVYO SASA, AU HERSI ALIKUJA JANA HAPO KUPOKEA TEMBO WARRIORS KUJA KUBEMBELEZA SIMBA WAUNGE MKONO. HATUTAAKI SASA!

View attachment 2384384
Total rubbish......
 
Back
Top Bottom