Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 330
- 458
Sio sahihi kabisa kwasababu mwisho wake unakuaga mbaya sana mmoja wao akizidisha kwa mfano kuna mwanamke aliwai kuachana na mumewe sasa kwenye kujibizana aliwai kumtukana mumewe ambaye ni mlinzi kwamba ww huna lolote bwege tu nenda kalale getin uko aisee io kauli ilimuuma sana uyo jamaa kwaio sishauri kabisa ayo maiya utani na matusiKuna baadhi ya wanandoa na wapenzi kutaniana kwa kutukanana matusi tena matusi mengine ni ya ajabu sana
Na wanawake wanapenda sana kutumia matusi kwa wenza wao Kama matani
Mifano ni mingi,mfano ikiwa mwanamke anataka kufahamu mumewe alipo atampigia simu au sms "Weee bwege uko wapi?
Wewe kenge njoo ule
Halafu wewe nyoko acha ubishi basi!
Wewe mwanaume wa michepuko Sasa hivi upo kwa nani coz sikuoni home "
Wanaume nao hukubali kujibizana kwa njia hiyo hiyo ya matusi mpaka ya nguoni
Je ni sahihi kutaniana kwa njia ya matusi?
Binafsi ni big nooooooo!!!!