nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
..rais anapoonesha ukabila wa wazi basi ujue tuna shida sana....
Kweni aliekwambia yeye ni msukuma nani?Nimeona leo kule shinyanga, anachomekea kuzungumza kwa kisukuma.
je haiwezi kuwa ni kuonesha kuwa "mimi ni wenu?" kuna ulazima gani wa kuzungumza kisukuma ktk mkutano unaotazamwa na watanzania wa makabila 120 nchi nzima?
nawasilisha!
Waweja
Tafuteni Vitu vizuri vya kumkosoa sio kila kitu tu. Lwakatare huko bukoba alisema maneno kibao mbona sikuona utumbo kama huu... Mnachosha sana aroNimeona leo kule Shinyanga, anachomekea kuzungumza kwa kisukuma.
Je, haiwezi kuwa ni kuonesha kuwa "mimi ni wenu?" kuna ulazima gani wa kuzungumza kisukuma ktk mkutano unaotazamwa na watanzania wa makabila 120 nchi nzima?
Nawasilisha!
Kiswahili na Kiingereza ndiyo lugha rasmi ya mawasiliano ya serikali. Unazungumzia katiba ipi?katiba haijazungumzia hilo,so yupo sawa